Tetesi: Samata achezea za mbavu kwa Gigy Money

Nay wa mitego anasema Demu mbaya ana bonge la Tak..
 
Pumbavu zako leta mada zenye kujenga humu jf siyo wivu wako na uongo usiofaa bwege wewe usiyeweza hata kubeba mpira
 

Nina Hamu Na Mimi Ningekuwa Ndiyo Hicho Kiti Halafu Nakakaliwa Hivyo!
 
Huyo mpenda bodaboda na bajaji ambaye Hana hata passport akatae kwenda ulaya?
kweli,

huyo bidada alinukuliwa yu tayari hata kuigiza video pendwa kama ipo hela, mnajua mkataba wa Samatta Genk ni zaidi ya ceo wa Nhc,Ewura,Tanesco

kwani wanaume wa Dar wanampa sh.ngapi?
 
Huyo mpenda bodaboda na bajaji ambaye Hana hata passport akatae kwenda ulaya?

Endelea Kuwadanganya Wasiomjua Huyu Binti ILA Nakupa Assignment Mtafute Huyu Binti Unayemsifia Kuwa Eti Alimkataa POPA ( Samatta ) Kuwa Mwaka Jana Mwezi Wa 8 au Wa 9 Alikuja Katika Media Gani Ambapo Alikuwa ANANILILIA KUOMBA NIMPE NAFASI YA KAZI HATA KWA UJIRA MDOGO TU YEYE ANGEFANYA KWANI ALIDAI ANA MAISHA MAGUMU NA KWAMBA YULE BOSI WAKE WA EAST AFRICA TV SAM MISAGO ALIMFUKUZA KAMA SIYO KUMTIMUA KUTOKANA NA TABIA ZAKE CHAFU HIVYO HANA PESA LAKINI NILIVYOMSOMA NA KUGUNDUA KUWA NI " MWENDO " NIKAMKATALIA PALE PALE AKAONDOKA. Alikuwa Yeye Na Wenzake Wawili Ambao Wote Kwa Mwonekano Tu Ni " Mwendo Wa KUTUKUKA ". Hivi Kwa Bata Anazokula Na Alizonazo Mbwana Samatta Kuna Mwanamke Wa Kitanzania Kwa Hawa Niwajuao Mimi Angekataa Kwenda Kuishi Na Samatta Nchini Ubelgiji? Nimjuavyo Gigy Money Alivyo Na Dhiki Hadi Katika KOPE Zake Za Macho Angeitwa Na Samatta Angekuwa Radhi Hata Tu Kuogelea Baharini Kutoka Dar Hadi Brussels!
 
Hizi topic za humu ndani siku hizi ni ngono ngono mchana kucha, tubadirike.
 
MWe mwe mwe

Imbombo ngafu abhana bha huyu gigy imbombo fijoo
 
Kuna tatizo.....nilikua nchelea amini wanaume wa Dar wana tatizo.. nimeanza amini sasa
 
Thread ya namna hii ni moja ya njia ya kumtambua Mwanaume wa Dar slum!
 
Pumbavu zako leta mada zenye kujenga humu jf siyo wivu wako na uongo usiofaa bwege wewe usiyeweza hata kubeba mpira
Unamuonea wivu gigy money [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…