Tetesi: Samata achezea za mbavu kwa Gigy Money

Mbwana samatta ata hawaz uo ujinga ulionao ww kichwan mwako! Anapigana kuimarsha kipaji chake tu uko ulaya aje ashughulishwe na muuza vinyago wa bongo apa ctarajiii, kama auna stor ya kupost u beter keep quite
 
Weka hiyo communicatiob ya email hapa....kwanza ninashaka kama huyo gigy anayo email....eti Nifah anayo huyu mtu....
 
Mbwana samatta ata hawaz uo ujinga ulionao ww kichwan mwako! Anapigana kuimarsha kipaji chake tu uko ulaya aje ashughulishwe na muuza vinyago wa bongo apa ctarajiii, kama auna stor ya kupost u beter keep quite
KWanza house girl tu mzungu sembuse hiyo takataka ndio imchanganye Samata?
 
Hivi huyo mpenda kick ana jamba jamba nini, naona watu mnampa attention sana,ngoja niwakumbesheni kick zake huyu mjamba mjamba hovyo,alikuwa akija FNL anakuja kavaa nusu uchi na kujishikashika mbele ya camera wakamstukia anaharibu reputition ya kituo, kick nyingine juzi kati akisema ametembea na king kiba mambo ya kick hizo watu wakamchafua king kiba mbaya kabisa, kick nyingine alisema yupo tayari kucheza picha za ngono ilihali alipwe mpunga mrefu tu yani hili toto ni jinga sana akili tope, sasa kaja na kick ya samata ahhhhh kwa kweli, huyu demu ni kumpuuza tu na anawachafulia watu majina yao,ana element za umalaya na hata sitaki kuamini kama alipewa mwaliko halafu atose wakati mbichwa wake unawaza pesa za kiharamu tu.
 
 
Hii nadhani ipulizie perfume inukie nitarudi kwahiyo ndo kakutuma au na wewe amekutumia e-mail??
 
Ninavyo mfahamu samatta hawezi kuwa na mademu aina yake samatta niswala tano ubelgiji
 
Mbona watu wanashambulia sana:Yule msichana aitwae Gigy Money aliitwa TV1 na akatamka hayo maneno kwa kebehi kubwa kipindi kinaitwa weekend Gossip.Yeye ndie amemdhalilisha Star wetu samata ,sio wadau hapa hakuna cha sheria ya mtandao hapo chanzo ni TV1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…