Tetesi: Samata achezea za mbavu kwa Gigy Money

Tetesi: Samata achezea za mbavu kwa Gigy Money

Acha ujinga wewe,nani kakwambia Chamazi ndo wamejaa wanaume wakuda?

Kwa taarifa yako wanaume wa ukweli hapa Dar wapo wilayani Temeke hususani Mbagala na hasa maeneo ya Chamazi.

Wanafiki wapo kwa wingi huko Ilala yote kuanzia mchikichini,boma mpaka sharif shamba. Pia kinondoni yote wanaume wa kule ni vibiriti ngoma na ndo maana panya road waliwatetemesha hadi kufikia hatua eti wanaume zaidi ya 10 kujificha chini ya Vitz na wakatosha.


I'm sorry bro, sirudii tena kuwatania wazee wa Chamazi. Viva Azam FC
 
Wanaume kukazwa -dar
wanaume kupaka kutoboa masikio -dar
wanaume kiepe yai -dar
wanaume wambea, udaku, majungu -dar
wanaume midosho -dar

Hakika Dar imebakiwa na mifano ya wanaume..

Wanakazwa na wanawake? Ongeza ufahamu ukiona mtu anakazwa ujue si mwanaume

BTW hilo lisikuogopeshe, karibu Dar
 
Wanaume wa Dar sasa mnakoelekea siko..huyu Samatta kijana wa watu msimuingize kwenye umbea wenu
 
Upo sahihi Mwanaume unaleta story ya kipuuzi .Mtu mwenyewe analia njaa anataka kucheza picha za ngono ili atoke..Alatae ofa hiyo..Mnatuletea story za nani zaidi kati ya TEAM FULANI..Aache umburura
 
Yani malaya anayepigwa miti hadi chooni ndio akatae kupanda Swiss air to Belgium? Aache kumchafuwa star wetu wa ukweli Samata, by the way email siku hizi zinatumika maofisini tu na siyo kwa mawasiliano ya kawaida, huyo kahaba bado anaishi zama za mawe.
 
Imebainika kuwa yule msakata kambumbu katika club ya Genk uko ubeligiji Mbwana Ally Samata alimuomba fumu muuza nyago na mjasirimali Gigy Money.
Gigy money amedai kuwa Samata alimtumia e.mail aende ubelgiji ili waspend pamoja na kula bata mpaka bata aseme bata ila gigy money alikataa na kudai et "Samata is not my cup of coffe" yaan samata sio type yake.
Ivyo kaka Samata akachezea za mbavu uku king kiba akiendelea kuchekecha kadri awezavyo mpaka kukinai
4da04a1e99dbbfcc5d98545ee7d40d2f.jpg
Nimesha vaa condom ya kiume binuka basi
 
Back
Top Bottom