Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Mkuu hapa siongelei ushabiki naongelea mpira.sasa unaonge nn kati ndie mchezaji mwenye goli nyingi everton na ndie anaecheza no 10
hakika ni kweli japo ligi ya uingereza ni ngumu ila kwa everton pale atatikisaJana nilikua natazama huko kwenye international sport platform jinsi wanavyomringanisha Samatta na huyo Sigurdsson, jamaa walienda mbali zaidi mpaka nani alifuga magoli kuzidi mwenzake kwa kutumia mguu gani, vichwa n.k, wakaangalia mpaka speed ya mtu akiwa na Mpira, urefu, ugumu wa Ligi n.k
Mwisho mwandishi akamaliza kwa kusema kama ni yeye anampa Samatta nafasi ya kufanya vizuri akitua Everton, kwani kwa vigezo vingi anaonekana ni bora kuliko opponent wake.
Ova!
sigurdsson kama angekuwa midflda active angekuwa na asisit za kumzidi samata but ana asist 1 tu sawa na samataMkuu hapa siongelei ushabiki naongelea mpira.
Samatta ni number 9(hitman),na huyo mwengine ni numner10.
Halaf sigurdsson anacheza kma player maker kama sikosei msimu uliopita au mwaka juzi sigurdsson nae alikua katika mchezaji wenye assist.
Kwa maana hio ni vigumu kufananisha wachezaji hao wakati mmoja wao yuko kwenye game ngumu kwa kipindi kikubwa na anakua katika form mda wote huo.
Mkuu huo wako wew ushabiki sasa.sigurdsson kama angekuwa midflda active angekuwa na asisit za kumzidi samata but ana asist 1 tu sawa na samata
Well said, watanzania tunapenda sana kukuza vitu bila hata research. Samata. Mzuri kwa ligi yake lakini sio EPL . Ndio maana wapo watu wakali ligi zingine lakini wakienda EPL wanapata tabu Sana.Uzalendo ni jambo la msingi
Lakini tunapaswa kuzingatia yafuatayo katika kuwafananisha wawili hao
1. Sigurdsson si namba 9 kama ilvyo kwa Samata
Sigurdsson anacheza ligi ya uingereza wakati Samata yupo ligi ya Ubelgiji (Wenye google mtanisaidia kuangalia ranking ya hizo ligi mbili)
Mwisho. Samata ana uwezo wa soka hivyo natamani pia aende kujaribiwa katika ligi ngumu ya Uingireza
Kwahyo hata Europa ni ligi yake? kwa sasa samatta ni bora kuliko lukaku mara kumi nafasi anazokosaga lukaku pale united samatta hapotezagi nafasi hivyo.Samatta anajua njia za mpira anajua kukaa kwenye nafasi nzur timu ikiwa inashambulia ndio maana anatupia tuu hata akitua England lazima akatupie tuu.Well said, watanzania tunapenda sana kukuza vitu bila hata research. Samata. Mzuri kwa ligi yake lakini sio EPL . Ndio maana wapo watu wakali ligi zingine lakini wakienda EPL wanapata tabu Sana.
Halafu kuna Wazungu weusi wa Tanzania wanashindwa kujua thamani ya Samatta!Ona hao walioshika Bendera! View attachment 915494
sababu ya zile roho zetu. roho za kijiwe jiweHalafu kuna Wazungu weusi wa Tanzania wanashindwa kujua thamani ya Samatta!