Samatta ana tatizo gani huko Uturuki?

Kiwango cha samata sio cha kucheza premier league. Alitakiwa abaki Belgium. Kuhusu huko uturuki sijui
Nafikiri kuna jambo nyuma ya kushuka kiwango cha Samatta, huenda umri au athari za majeraha ya mara kwa mara. Kwakweli kiwango chake siku hizi ni kibovu mno, huwa nacheck gem za Fenerbahce naona aibu kama Mtanzania kwa kiwango kinachooneshwa na ndugu yetu! Naona ametolewa first eleven anaanzia benchi siku hizi! Tumuombee ni Mtanzania mwenzetu na amelipa heshima Taifa.
 
Chuki Chuki Chuki Chuki...
Chuki inaua.
 
Dah! Tumuombee kwa kweli. Mimi ni mshabiki wake. Ila kwa sasa Samatta hamkuti hata yule mchezaji wetu wa Msumbiji tuliye nyang'anywa na wale wazee wa kuingia na mapaka uwanjani.

Yaani ukimkuta uwanjani anakimbia kimbia tu! Hana kabisa uwezo wa kukimbia na mpira hatua kadhaa, kuwapangua mabeki watatu wanne hivi!! Utadhani halipwi mshahara! Inahuzunisha sana.
 
Dah! Tumuombee kwa kweli. Mimi ni mshabiki wake. Ila kwa sasa Samatta hamkuti hata yule mchezaji wetu wa Msumbiji tuliye nyang'anywa na wale wazee wa kuingia na mapaka uwanjani.

Yaani ukimkuta uwanjani anakimbia kimbia tu! Hana kabisa uwezo wa kukimbia na mpira hatua kadhaa, kuwapangua mabeki watatu wanne hivi!! Utadhani halipwi mshahara! Inahuzunisha sana.
 
Leo nimeangalia match yao na kaingia kama Sub. Dah inakatisha sana tamaa. Samatta kaisha kabisa sijui nini kimemkuta. Lakini hii imetokea baada ya kuoa tu. Alivyokuja kuoa na kurudi na mke baasi shughuli ikaisha. Inaonekana mbususu alikuwa haijui na baada ya kuoa akawa anachakata kwa 100%. Yaani Samatta kwa kikosi cha Simba atasubiri sana.
 
Hana namba kikosi cha Simba wachovu....hahaa
 
Hapo kwemye mbususu Maake kwanza ncheke [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…