PointWabongo kwa kufikiri mabaya amjambo
Kwanza kumbuka FIFA wanatambua hilo jina kama tusi/ubaguzi...so bila kujali nyie mlio nje mnalitamka mara ngapi lakini yeye aliye kwenye "ulingo" wa FIFA sio sawa na nyie.You know what man, nakubalina na maelezo yako kwa asilimia kubwa sana lakini kama alivyosema Paulo Sergio De Souz, issue sio neno bali context! Hakuna neno baya la Kiswahili kama "mse'nge" lakini wenyewe kwa wenyewe kila wakati huwa tunaambiana "dah, we jamaa mse'nge; sikuwezi....!" yaani neno lile lile la kuchukiza na kukarahisha linageuka kuwa kivumishi depending na context na wanaombiana hivyo ni watu wa karibu! Hata huko US, black kwa black kuitana nigga isn't an offense tatizo linakuja pale White anapomuita black Nigga, especially kama sio washikaji! Humu JF ni kawaida sana mtu kuandika "Watanzania ni mazombie, mabwege, waoga n.k" lakini hatuwezi kuruhu mtu wa taifa lingine atumie maneno hayo hayo dhidi yetu-- tutamshukia! So, hata hao Wabelgiji nao wanafajamu kwamba Samatta kumuita Ulimwengu Nigga wala sio tiketi ya wao nao kumuita Samatta Nigga!
Heheh!, umenchekesha!
Lakini nieleweshe kidogo, ukisema inategemea na mazingira na muktadha kutumia the N word, don't you think there's a contradiction? cos yes, it's okay for Samatta to use it since he's black but, rappers use it and it's expected ftom them because that's how they (roll)...lol! (nami najaribu) and so it's totally cool for them to use it.
But with Samatta, as maatope said, we're talking about FIFA, whom are fighting racism to begin with. I think hata the NFL or NBA wouldn't encourage any of their players to use the word randomly. Wakirushiwa ndizi kiwanjani au kuitwa hivyo tunalalama.
Kwa level aliyofika Samatta, it'll be good if he drops it at some point. (Especially kutumia in public)
It's not a pleasant word altogether.
Mkuu chige,pongezi sana kwako kwa uandishi wako mzuri sana.You know what man, nakubalina na maelezo yako kwa asilimia kubwa sana lakini kama alivyosema Paulo Sergio De Souz, issue sio neno bali context! Hakuna neno baya la Kiswahili kama "mse'nge" lakini wenyewe kwa wenyewe kila wakati huwa tunaambiana "dah, we jamaa mse'nge; sikuwezi....!" yaani neno lile lile la kuchukiza na kukarahisha linageuka kuwa kivumishi depending na context na wanaombiana hivyo ni watu wa karibu! Hata huko US, black kwa black kuitana nigga isn't an offense tatizo linakuja pale White anapomuita black Nigga, especially kama sio washikaji! Humu JF ni kawaida sana mtu kuandika "Watanzania ni mazombie, mabwege, waoga n.k" lakini hatuwezi kuruhu mtu wa taifa lingine atumie maneno hayo hayo dhidi yetu-- tutamshukia! So, hata hao Wabelgiji nao wanafajamu kwamba Samatta kumuita Ulimwengu Nigga wala sio tiketi ya wao nao kumuita Samatta Nigga!
Endapo ungenisoma kwa vituo ungegundua kwamba hilo tayari nilishaweka wazi:Kwanza kumbuka FIFA wanatambua hilo jina kama tusi/ubaguzi...so bila kujali nyie mlio nje mnalitamka mara ngapi lakini yeye aliye kwenye "ulingo" wa FIFA sio sawa na nyie.
So, hata hao Wabelgiji nao wanafajamu kwamba Samatta kumuita Ulimwengu Nigga wala sio tiketi ya wao nao kumuita Samatta Nigga!
Sidhani kama kuna mtu amesema sisi weusi tunapenda! Hoja ni kwamba; kwanza ni muktadha wa maneno yanayotumika na nani anatumia dhidi ya nani! Nikatolea mfano neno "mse'nge" ambalo ni very offensive lakini bado wenyewe kwa wenyewe tunaitana "mse'nge" but NOT from offensive perception! Na nikaweka wazi kabisa kwamba na mara nyingi inatumika baina ya watu ambao wapo karibu ile mbaya; washikaji! Lakini bado hiyo haimaanishi kwamba tunapenda kutumia hilo neno-- context/muktadha na nani unaongea nae! Mimi nikikutana na wewe leo hii hata kama nitakuwa excited/amazed/surprised or whatever you may call; bado sitakuwa na ujasiri wa kutumia hilo neno kwako!Pili tusidhani kuwa kwa kuwa tu sisi weusi tunapenda kutumia kuitana sisi, basi na Wasio weusi wanaridhia hilo, la hasha.
Mzungu mwenye mawazo kama hayo atakuwa ni mpuuzi manake katika jamii yoyote ile hilo ni jambo la kawaida! Si kila neno nitakalomuita demu wangu na wewe uwe na haki ya kulitumia! Kwa mfano mie nimeshazoea washikaji zangu huwa nawaita dogo ingawaje wote wana wake na watoto na wao wanaona poa tu kv hata wao huwa wananiita dogo! Sasa akija mtu akaniita dogo halafu nikamchenjia kisha akasema yule jamaa mbona anakuita dogo halafu poa tu; huyo mtu atapaswa akapimwe akili!Wazungu wengi hawapendezwi na tabia ya Weusi kutumia neno Nigger dhidi yao ili hali wao hawataki kuitwa hivyo na wale wasio weusi.
Wazungu wengi huwaona weusi kama maselfish na wabaguzi namba moja pale mnapodhani kuwa ni ufahari kufanya/kutamka jina ambalo yeye (Mzungu) haruhusiwi kutamka, na akitamka tu mnaanza kulalama kuwa mmebaguliwa.
Wazungu wengi wanasema kama hamtaki kuitwa Niggers basi na nyie muache kulitumia.
Hahaa! Ahsante Mkuu kwa Compliment! Nazihesabu hizi compliments na zikitimia 5 tu naenda kudaka nafasi ya teaching fasta manake kumbukumbu zangu zinanionesha ama bado 1 au 2 kutimia!!Mkuu chige,pongezi sana kwako kwa uandishi wako mzuri sana.
Hakika wewe ungekuwa mwalimu bora sana kama ungekuwa mwalimu.
Ningefurahi sana kama watoto wangu wangefundishwa na Mwalimu chige.Hahaa! Ahsante Mkuu kwa Compliment! Nazihesabu hizi compliments na zikitimia 5 tu naenda kudaka nafasi ya teaching fasta manake kumbukumbu zangu zinanionesha ama bado 1 au 2 kutimia!!
Again, we go back to the context. The word Nigga is not racist, if it's used among Niggas. Rappers popularized the word, to kill it from being used against the race. When used among Niggas it has a lot of meanings. Tupac's Nigga stood for Never Ignorant Getting Goals Accomplished. So we could argue Sama meant that as well.
About FIFA against racism in sport. Let alone the fact that Sama used the term on his friend, did he use it on any sport event under FIFA? No.
I don't think FIFA have any jurisdiction over players' personal lives.
Didn't Neymar and Co. introduced a banana eating movement on the social network after Dani Alves was thrown one during a game?
The man did nothing wrong. I'd be his lawyer if necessary.
...and a good Lawyer you will be!
True, the man didn't do anything wrong.
And the statement about FIFA not to have any jurisdiction over players's personal lives,..spot on!
I think it's A okay when WE, use it as a motivation among ourselves, but it just don't sit well with the majority so why should someone be controversial? We're talking about a star.
One thing we need to remember is that, right now Samatta's looked at as a role model to many kids out there and may be some of them (who love sport) would like to be like him one day and also, some companies might want to endorse him and use him in that manner. So I think it's a smart thing to watch what he says and every move he makes, as most eyes are on him.