JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
mpira hauna adabu unaweza kukukataa kibwege.Samata wa nini? Hana impact yoyote sasa hivi, kwenye club yake ya PAOK hata kwenye sub hawekwi.
Samata hastahili kuitwa Taifa stars
au kutobolewa..!Kujaza nafasi au tunataka kutoboa??
Huyo jamaa ni mtalii tu hakuna kitu atafanya.au kutobolewa..!
Uyo ndiyo ngombePengo naliona kwa Msuva tu alistahiki kujumuishwa
Uwanjani sio museum. Kama ni swala la kumpa mchezaji heshima basi hata Mrisho Ngasa naye aanze kikosi cha kwanza.Samatta mnamchukulia kikawaida Sana. Lakini hao wachezaji wenu wote mnaowasifia, hakuna hata mmoja wao aliyewahi kufikia viwango na hadhi yake.
Mpeni heshima yake.
Hoja yangu ni kwamba Samatta Bado anastahili kuitwa.Uwanjani sio museum. Kama ni swala la kumpa mchezaji heshima basi hata Mrisho Ngasa naye aanze kikosi cha kwanza.
Unataka tuishi kwenye historia kisa eti heshima ya Samatta. Na heshima ya Taifa Stars je.