Samatta arejeshwa katika kikosi cha Taifa Stars kitakachocheza mechi ya kufuzu AFCON 2025 vs DR Congo

Samatta arejeshwa katika kikosi cha Taifa Stars kitakachocheza mechi ya kufuzu AFCON 2025 vs DR Congo

Alijua Tanzania itafungwa cha ajabu haijapoteza hata mechi moja tangia aache kuitwa national team.
 
Alijua Tanzania itafungwa cha ajabu haijapoteza hata mechi moja tangia aache kuitwa national team.
Hizi Sasa ni fitina....

Samatta ndiye mchezaji bora namba moja Toka Tanzania. Wachezaji wote waliopo Tanzania na nje ya Tanzania hakuna anayemfikia ubora.

Thamani yake Kwa Sasa ni sawa na Euro milioni Moja na laki tano (150,500,000) sawa na shilingi 4,519,499,250 na alipokuwa katika ubora wale thamani yake ilifika hadi €milioni 12 sawa na Shilingi za kitanzania 36,155,994,000.

Samatta Kwa wachezaji wote wanaotambulika na vyama vya Mpira duniani waliozaliwa mwaka 1992 yeye anashikilia namba 172 kwa ubora.

Center forward wote walioko duniani kwa sasa Samatta ni namba 764 kwa ubora.

Samatta kati ya wachezaji wote walioko duniani yeye anashikilia namba 5,276 kwa ubora.

Samatta msimfananishe na kina Max Nzengeli ama Elie Mpanzu.
 
Huyo jamaa ni mtalii tu hakuna kitu atafanya.
Li Mayele litatuweka
Hizi Sasa ni fitina....

Samatta ndiye mchezaji bora namba moja Toka Tanzania. Wachezaji wote waliopo Tanzania na nje ya Tanzania hakuna anayemfikia ubora.

Thamani yake Kwa Sasa ni sawa na Euro milioni Moja na laki tano (150,500,000) sawa na shilingi 4,519,499,250 na alipokuwa katika ubora wale thamani yake ilifika hadi €milioni 12 sawa na Shilingi za kitanzania 36,155,994,000.

Samatta Kwa wachezaji wote wanaotambulika na vyama vya Mpira duniani waliozaliwa mwaka 1992 yeye anashikilia namba 172 kwa ubora.

Center forward wote walioko duniani kwa sasa Samatta ni namba 764 kwa ubora.

Samatta kati ya wachezaji wote walioko duniani yeye anashikilia namba 5,276 kwa ubora.

Samatta msimfananishe na kina Max Nzengeli ama Elie Mpanzu.
hizi takwimu umezipata wali?
 
Hoja yangu ni kwamba Samatta Bado anastahili kuitwa.
Hoja yako niliyopinga ilikaa kihistoria. Ulisema tunamkosea heshima, hukusema anastahili kuitwa.

And BTW, Samatta hastahili. Kama unabisha nipe stats zake mechi 10 za mwisho akiwa na Taifa Stars, nipe takwimu alivyokosa kuwepo kitu gani kilipungua pale mbele.

Uwepo wake na kutokuwepo havina tofauti. Heshima anayo, kihistoria.
 
Naona dogo Balua hajapata nafasi safari hii.
Nataka nimshauri tu asikate tamaa aendelee kujifua ili kuwa bora zaidi, bado ana nafasi ya kulitumikia taifa.
Pia katika kujifua huko afanye mazoezi ya kuutumia mguu wa kulia pia.
Wazungu wanasema Exercising makes perfect.
Mchezaji anayeweza kutumia miguu yote anakuwa ni wa thamani zaidi.
Faisal, Mudathiri wanatumia miguu yote miwili na ubora wao unaonekana.
Just a piece of advice
 
Samatta ni icon ya timu ya taifa, ni maestro, anacheza kwa kuforce na kuwapa hamasa wachezaji wengine kukiwasha na wapinzani wanacheza kwa tahadhari na kupunguza kujiamini. Si lazima afunge.

Binafsi nampongeza sana Morocco. It is more psychological, kama huna D mbili huwezi kuelewa umuhimu wa Samatta.
 
Samatta ni icon ya timu ya taifa, ni maestro, anacheza kwa kuforce na kuwapa hamasa wachezaji wengine kukiwasha na wapinzani wanacheza kwa tahadhari na kupunguza kujiamini. Si lazima afunge.

Binafsi nampongeza sana Morocco. It is more psychological, kama huna D mbili huwezi kuelewa umuhimu wa Samatta.
Ameshazeeka

Tuwaachie vijana fursa
 
Mpira wetu umejaa giriba, chuki, visasi, rushwa, upendeleo na mambo mengine mengine yasikuwa na maana badala kutembea kwenye uhalisia tunatembea kwenye ujinga mwishowe hatufiki popote.
 
Hizi Sasa ni fitina....

Samatta ndiye mchezaji bora namba moja Toka Tanzania. Wachezaji wote waliopo Tanzania na nje ya Tanzania hakuna anayemfikia ubora.

Thamani yake Kwa Sasa ni sawa na Euro milioni Moja na laki tano (150,500,000) sawa na shilingi 4,519,499,250 na alipokuwa katika ubora wale thamani yake ilifika hadi €milioni 12 sawa na Shilingi za kitanzania 36,155,994,000.

Samatta Kwa wachezaji wote wanaotambulika na vyama vya Mpira duniani waliozaliwa mwaka 1992 yeye anashikilia namba 172 kwa ubora.

Center forward wote walioko duniani kwa sasa Samatta ni namba 764 kwa ubora.

Samatta kati ya wachezaji wote walioko duniani yeye anashikilia namba 5,276 kwa ubora.

Samatta msimfananishe na kina Max Nzengeli ama Elie Mpanzu.
Umeandika pumba tu kwani huyo samata atacheza national team miaka yote Tanzania nzima hakuna wachezaji mchezaji kaomba kuachwa national team unamramba miguu arudi wape nafasi vijana wacheze kuna siku atastaafu tu.
 
Umeandika pumba tu kwani huyo samata atacheza national team miaka yote Tanzania nzima hakuna wachezaji mchezaji kaomba kuachwa national team unamramba miguu arudi wape nafasi vijana wacheze kuna siku atastaafu tu.
Pumba zangu leteni mchezaji anayefanana na Samatta kwa viwango.

Kwa kweli watanzania tunapenda sana kukataa kutumia akili zetu.
 
Pumba zangu leteni mchezaji anayefanana na Samatta kwa viwango.

Kwa kweli watanzania tunapenda sana kukataa kutumia akili zetu.
Sasa kila siku wanacheza Wazee kwenye national team na kwenye club hao vijana watapata experience lini ili wafanye vizuri national team nyie si ndio mlikuwa mnapiga kelele mzize asianze yanga wakati national team hakuna striker mpaka gamond akamkingia kifua.
 
Samata wa nini? Hana impact yoyote sasa hivi, kwenye club yake ya PAOK hata kwenye sub hawekwi.

Samata hastahili kuitwa Taifa stars
Wangeachana naye huyo ,kuendelea kumkumbatia ndiyo mnampa BICHWA ,hana tofauti na HASHEEM THABEET misifa ndiyo inawapoteza ,alifikia kiwango cha kucheza Aston Villa ,kwasasa amerudi mchangani.
 
Back
Top Bottom