Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kuitwa na kucheza ni mambo mawili tofauti. Lakini hoja iwe uwezo na si umri wake.Sasa kila siku wanacheza Wazee kwenye national team na kwenye club hao vijana watapata experience lini ili wafanye vizuri national team nyie si ndio mlikuwa mnapiga kelele mzize asianze yanga wakati national team hakuna striker mpaka gamond akamkingia kifua.