Samatta arejeshwa katika kikosi cha Taifa Stars kitakachocheza mechi ya kufuzu AFCON 2025 vs DR Congo

Kuitwa na kucheza ni mambo mawili tofauti. Lakini hoja iwe uwezo na si umri wake.
 
There is no substitute for experience hata akija akikaa benchi tu anaweza akaongeza kitu (unless ana attitude problem hivyo kupunguza morali, ila kama ni team player huenda akawa ni nyongeza hata asipocheza) Na ile ya kumuweka nje huenda ikamuongezea motisha (something to prove)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…