Kama nawaona wadada wa mujini wanavo muwinda huyu kijana kwa uchu wa kuzitafuna pesa zake.ila nasikia dogo yupo makini sana.Wema sepetu fursa hii hujaiona?
Jibu zuriungempa hiyo €35,600 kisha ukampangia hayo masharti ''uchwara''
jamaa kachezea nakoz. ila hata mimi naona nyekundu haijakaa poa. pia nimezoea mastaa huwa na 2 doors siyo 4 doors.Jana nilitaka kuandika kitu kama hiki nikasema ngoja kwanza lazma atajitokeza wa kuniwakilisha kimawazo! kama ningeandika jana ningekuja kupigwa mitama ya shingo hapa!
Yako rangi gani mkuu?Mwanaume unanunuaje gari nyekundu.. angenunua nyeusi au nyeupe kama hiyo.. sio mbaya lakini
Jamaa bado wanamburuza tu! peterchoka! Nyekundu na pink kidume unajipinda ndani ya usukani!jamaa kachezea nakoz. ila hata mimi naona nyekundu haijakaa poa. pia nimezoea mastaa huwa na 2 doors siyo 4 doors.
Unaweza kuta wewe Una miaka 27 na bado uko kwenu form four failure(Zero man)...umezoea endesha Vya baba na mama ndio maana hata anachokifanya mwanaume mwenzako unajenga hoja inayotokana na mawazo mgando(hoja hasi).....Mwanaume unanunuaje gari nyekundu.. angenunua nyeusi au nyeupe kama hiyo.. sio mbaya lakini
Jamaa bado wanamburuza tu! peterchoka! Nyekundu na pink kidume unajipinda ndani ya usukani!
Picha hiyo hata minayo mkuumimi natembelea tz11 mkuu, vipi unataka picha
Kwanza asante kwa:-
1. Kutilia mashaka UANAUME Wangu. (Japokua nimeshindwa kuelewa unawezaje kujua jinsia za members wa humu ndani)
2. Kutuita wapumbavu na huyo "mp.umbavu mwenzangu" (nadhani ulimlenga nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania).
Pili;-
Unaweza ukawa unamaanisha nini labda unavyosema mtu kapata hela na THE FIRST THING Kununua ni gari ya 130M ? Unataka kutuambia hata saa ya mkononi, kijiko, glasi, sturi, kiwanja, nyumba n.k hana ?
Hata ikiwa hivyo vyote hana, U nani wewe hata umpangie nini aanze kununua nini afuate ?
Unajua hata angenunulia bia hela zake zote yuko sahihi maana hela ni mali yake na anapata kwa njia halali!
Sijui huko mtaani kwenu unaishije na majirani kwa hili gubu, mtu asinunue bodaboda, smartphone, kitenge, suruali mpya, mafuta ya kupakaa etc halafu ukajua utaongea wiki nzima na hizo critics zako.
Nitoe RAI tu kwa MBWANA ALLI SAMATTA POPPAT, kaka saizi nunua BOMBARDIER kabisa umnyooshe huyu.
LoveYou
Haha Usiogope changamoto mkuu popote zipo, simamia unachokiamini, all in all kwangu gari nyekundu ni NO!Jana nilitaka kuandika kitu kama hiki nikasema ngoja kwanza lazma atajitokeza wa kuniwakilisha kimawazo! kama ningeandika jana ningekuja kupigwa mitama ya shingo hapa!
Usijali mkuu hizo nakoz zao mbona hazinibadilishi msimamo wangu, nyekundu ni NOjamaa kachezea nakoz. ila hata mimi naona nyekundu haijakaa poa. pia nimezoea mastaa huwa na 2 doors siyo 4 doors.
Hii noma sasa mkuu!
Hahaa, hii Tanzania inazidi kusikitisha mana watu wengi mataahira kama wewe, halafu mtu kama wewe soon tunakusikia ni mbunge, lazima kweli mtaishia kununua ndege za bilions wkt hospital hamna chanjo kha! My poor Tanzania....wenye akili wamezikwa na akili zao.
Nakuuliza unanunua gari ya mil 130 huku una rent nyumba una akili timamu wewe?
kwani nani kakuambia hajajijenga?? mbona wadau wa Temeke wanasema Ana majengo ya maana. Kwa maneno yako inaonyesha una stress za maisha, au una mipango mingi ila unashindwa kuifanikisha kutokana na UKATA, na haujawahi kushika pesa ndefu..Elewa Samata ana maendeleo kwao na ni-msiri sana.Hahaa, hii Tanzania inazidi kusikitisha mana watu wengi mataahira kama wewe, halafu mtu kama wewe soon tunakusikia ni mbunge, lazima kweli mtaishia kununua ndege za bilions wkt hospital hamna chanjo kha! My poor Tanzania....wenye akili wamezikwa na akili zao.
Nakuuliza unanunua gari ya mil 130 huku una rent nyumba una akili timamu wewe?
Wajua lakini kwamba real pro football kaanzia TP Mazembe na sio Genk?Wajua pia kwamba mshahara aliokuwa anapata TP mazembe unapishana kidoooogo sana na anaochukua sasa Genk.Haya kalaleKwa hiyo na wewe unajiona mwanaume kamili kujibu hiyo pumba hapo juu? Doh!
Wewe na huyo samatta wote wa..pu..mba..vu tu,
Mtu katoka bongo kapauka kama anapaka mawese usoni, anapata hela and the first thing ni gari ya mil130??? Cha! Hela yake lakini ni mjinga! Kama wewe
Milioni 80+ kabla ya kodiKwahiyo dogo anachuku million 17 kwa mwezi
Mwanaume unanunuaje gari nyekundu.. angenunua nyeusi au nyeupe kama hiyo.. sio mbaya lakini