Samatta atumia 130M kununua gari yake mpya

Samatta atumia 130M kununua gari yake mpya

Wema sepetu fursa hii hujaiona?
Kama nawaona wadada wa mujini wanavo muwinda huyu kijana kwa uchu wa kuzitafuna pesa zake.ila nasikia dogo yupo makini sana.

hata likizo zake wakati anachezea mazembe alikuwa anakuja kimya kimya bila mbwembwe.kingine nasikia amejenga nyumba za kutosha huko kwao mbagara.hongera sana samatta
 
Jana nilitaka kuandika kitu kama hiki nikasema ngoja kwanza lazma atajitokeza wa kuniwakilisha kimawazo! kama ningeandika jana ningekuja kupigwa mitama ya shingo hapa!
jamaa kachezea nakoz. ila hata mimi naona nyekundu haijakaa poa. pia nimezoea mastaa huwa na 2 doors siyo 4 doors.
 
Mwanaume unanunuaje gari nyekundu.. angenunua nyeusi au nyeupe kama hiyo.. sio mbaya lakini
Unaweza kuta wewe Una miaka 27 na bado uko kwenu form four failure(Zero man)...umezoea endesha Vya baba na mama ndio maana hata anachokifanya mwanaume mwenzako unajenga hoja inayotokana na mawazo mgando(hoja hasi).....
 
Jamaa bado wanamburuza tu! peterchoka! Nyekundu na pink kidume unajipinda ndani ya usukani!
Screen%2BShot%2B2016-08-31%2Bat%2B10.30.02%2BPM.png
 
Angepata hii color ingekua poa sana.

$_86.JPG



[emoji817]
 
Kwanza asante kwa:-
1. Kutilia mashaka UANAUME Wangu. (Japokua nimeshindwa kuelewa unawezaje kujua jinsia za members wa humu ndani)
2. Kutuita wapumbavu na huyo "mp.umbavu mwenzangu" (nadhani ulimlenga nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania).

Pili;-
Unaweza ukawa unamaanisha nini labda unavyosema mtu kapata hela na THE FIRST THING Kununua ni gari ya 130M ? Unataka kutuambia hata saa ya mkononi, kijiko, glasi, sturi, kiwanja, nyumba n.k hana ?

Hata ikiwa hivyo vyote hana, U nani wewe hata umpangie nini aanze kununua nini afuate ?

Unajua hata angenunulia bia hela zake zote yuko sahihi maana hela ni mali yake na anapata kwa njia halali!

Sijui huko mtaani kwenu unaishije na majirani kwa hili gubu, mtu asinunue bodaboda, smartphone, kitenge, suruali mpya, mafuta ya kupakaa etc halafu ukajua utaongea wiki nzima na hizo critics zako.

Nitoe RAI tu kwa MBWANA ALLI SAMATTA POPPAT, kaka saizi nunua BOMBARDIER kabisa umnyooshe huyu.

LoveYou

Hahaa, hii Tanzania inazidi kusikitisha mana watu wengi mataahira kama wewe, halafu mtu kama wewe soon tunakusikia ni mbunge, lazima kweli mtaishia kununua ndege za bilions wkt hospital hamna chanjo kha! My poor Tanzania....wenye akili wamezikwa na akili zao.
Nakuuliza unanunua gari ya mil 130 huku una rent nyumba una akili timamu wewe?
 
Jana nilitaka kuandika kitu kama hiki nikasema ngoja kwanza lazma atajitokeza wa kuniwakilisha kimawazo! kama ningeandika jana ningekuja kupigwa mitama ya shingo hapa!
Haha Usiogope changamoto mkuu popote zipo, simamia unachokiamini, all in all kwangu gari nyekundu ni NO!
 
jamaa kachezea nakoz. ila hata mimi naona nyekundu haijakaa poa. pia nimezoea mastaa huwa na 2 doors siyo 4 doors.
Usijali mkuu hizo nakoz zao mbona hazinibadilishi msimamo wangu, nyekundu ni NO
 
Hahaa, hii Tanzania inazidi kusikitisha mana watu wengi mataahira kama wewe, halafu mtu kama wewe soon tunakusikia ni mbunge, lazima kweli mtaishia kununua ndege za bilions wkt hospital hamna chanjo kha! My poor Tanzania....wenye akili wamezikwa na akili zao.
Nakuuliza unanunua gari ya mil 130 huku una rent nyumba una akili timamu wewe?

Kuna kitu maishani kinaitwa VIPAUMBELE, hakiepukiki. Vipaumbele vyangu mimi sio lazima vifanane na vya kwako.
Siendelei kujadili nawewe maana umejiondolea uhalali wa kufanya mjadala na mimi kwa sababu unatumia lugha za matusi (mfano wapu.mbavu, mataahira n.k). Mimi si mtu wa aina hiyo. Jifunze kwanza kujadili sio kutoa matusi ndipo uje kwenye mjadala vinginevyo subiri kusikia kama ulivyotabiri hapo juu.
 
Hahaa, hii Tanzania inazidi kusikitisha mana watu wengi mataahira kama wewe, halafu mtu kama wewe soon tunakusikia ni mbunge, lazima kweli mtaishia kununua ndege za bilions wkt hospital hamna chanjo kha! My poor Tanzania....wenye akili wamezikwa na akili zao.
Nakuuliza unanunua gari ya mil 130 huku una rent nyumba una akili timamu wewe?
kwani nani kakuambia hajajijenga?? mbona wadau wa Temeke wanasema Ana majengo ya maana. Kwa maneno yako inaonyesha una stress za maisha, au una mipango mingi ila unashindwa kuifanikisha kutokana na UKATA, na haujawahi kushika pesa ndefu..Elewa Samata ana maendeleo kwao na ni-msiri sana.
 
Kwa hiyo na wewe unajiona mwanaume kamili kujibu hiyo pumba hapo juu? Doh!

Wewe na huyo samatta wote wa..pu..mba..vu tu,
Mtu katoka bongo kapauka kama anapaka mawese usoni, anapata hela and the first thing ni gari ya mil130??? Cha! Hela yake lakini ni mjinga! Kama wewe
Wajua lakini kwamba real pro football kaanzia TP Mazembe na sio Genk?Wajua pia kwamba mshahara aliokuwa anapata TP mazembe unapishana kidoooogo sana na anaochukua sasa Genk.Haya kalale
 
Back
Top Bottom