born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,336
- 1,491
Mshambualiaji hatari wa Taifa Stars na mchezaji wa zamani wa Simba na TP Mazembe ambaye kwa sasa anakipiga kwenye club ya KRC Genk ya huko Belgium inayoshiriki ligi kuu ya huko ijulikanayo kama Pro league.
Jana 21 august Genk ilicheza mechi yake ya 4 tangu msimu huu uanze na walicheza wakiwa ugenini dhidi ya Lokeren.
Kama kawaida Samatta alikuwepo kwenye starting XI akimuweka bench nguli kutoka Greece Nikos Karelis. Kwenye mchezo huo ulioanza majira ya saa 1 ucku EAT Genk walishinda 3-0.
Samatta alitupia mawili dk 34 na dk 38 hadi HT Genk wanaongoza. Second half dk 59 mchezaji T. Buffel aliongeza bao la tatu na kuitimisha ushindi mnono wa Genk.
Kwa matokeo hayo sasa,Genk imefikisha points 7 na kushika nafasi ya 4. na Samatta amefikisha magoli 3 in 4 matches.
Bravo Samatta.
Updates....................!!!!!!!
Mechi za Europa league au Uefa ndogo jana tarehe 25 August 2016 ziliendelea kama kawaida kutafuta kufuzu kwenye makundi.
Kijana wetu Samatta na chama lake la Genk walikuwa dimbani kupepetana na Locamotiva Zagreb ya Croatia.
Ikumbukwe mchezo wa kwanza hizi timu zilitoka sare ya 2-2.
Jana Genk ilishinda bao 2-0 magoli yakifungwa na home boy Samatta dk 2 tu ya mchezo na bao la pili lilifungwa na Mjamaica Bailey dk 50.
Kwa ushindi huo sasa,Genk imefuzu Europa league group stage ambayo yatapangwa Leo.
Swali dadisi.
"Je Samatta kuivaa united"
Stay tuned.
Jana 21 august Genk ilicheza mechi yake ya 4 tangu msimu huu uanze na walicheza wakiwa ugenini dhidi ya Lokeren.
Kama kawaida Samatta alikuwepo kwenye starting XI akimuweka bench nguli kutoka Greece Nikos Karelis. Kwenye mchezo huo ulioanza majira ya saa 1 ucku EAT Genk walishinda 3-0.
Samatta alitupia mawili dk 34 na dk 38 hadi HT Genk wanaongoza. Second half dk 59 mchezaji T. Buffel aliongeza bao la tatu na kuitimisha ushindi mnono wa Genk.
Kwa matokeo hayo sasa,Genk imefikisha points 7 na kushika nafasi ya 4. na Samatta amefikisha magoli 3 in 4 matches.
Bravo Samatta.
Updates....................!!!!!!!
Mechi za Europa league au Uefa ndogo jana tarehe 25 August 2016 ziliendelea kama kawaida kutafuta kufuzu kwenye makundi.
Kijana wetu Samatta na chama lake la Genk walikuwa dimbani kupepetana na Locamotiva Zagreb ya Croatia.
Ikumbukwe mchezo wa kwanza hizi timu zilitoka sare ya 2-2.
Jana Genk ilishinda bao 2-0 magoli yakifungwa na home boy Samatta dk 2 tu ya mchezo na bao la pili lilifungwa na Mjamaica Bailey dk 50.
Kwa ushindi huo sasa,Genk imefuzu Europa league group stage ambayo yatapangwa Leo.
Swali dadisi.
"Je Samatta kuivaa united"
Stay tuned.