Umenena vema saana mkuu!Ulichoandika hakikuwa na uhusiano ni nilichokuwa nimemjibu mwanzisha mada. Halafu vile unachoandika wewe ndiyo ya kuangalia negatives tu; kwa nini usiwe na imani kuwa kaenda Congo kapiga, kaenda Ubelgiji kapiga mpaka wanamlilia anapoondoka, leo wewe hapa unakalia negative theories za kuwa anaweza kushindwa kama vile wewe unajua uwezo wake na akili yake anapokuwa uwanjani. Wataalamu wa akili za binadamu husema watu wenye negative minds kama wewe pia huwa na negative results katika mambo yao.
Sure, na pia wataalamu wa mambo wanasema watu wanaotabilia negative issues huwa huombea au hushiriki kikamilifu katika kutengeneza matokeo hasi ili kuprove negativity zao. Basi usikute akienda ibadani anaombea flani asifanikiwe ili neno lake litimieUlichoandika hakikuwa na uhusiano ni nilichokuwa nimemjibu mwanzisha mada. Halafu vile unachoandika wewe ndiyo ya kuangalia negatives tu; kwa nini usiwe na imani kuwa kaenda Congo kapiga, kaenda Ubelgiji kapiga mpaka wanamlilia anapoondoka, leo wewe hapa unakalia negative theories za kuwa anaweza kushindwa kama vile wewe unajua uwezo wake na akili yake anapokuwa uwanjani. Wataalamu wa akili za binadamu husema watu wenye negative minds kama wewe pia huwa na negative results katika mambo yao.
Aibu nimeona mimi aisee.[emoji23][emoji23][emoji23]Labda akacheze championship,
Mie nimefunga macho kabisa, mikono kichwaniAibu nimeona mimi aisee.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio kaenda sasa......kila mmoja atafunga kamba za viatu vyake!!Kuna kijana ana 24 anaitwa Aleksandar Mitrović yuko Championship [emoji23][emoji23]. EPL pale kuna watu samatta hawezi hata kufunga kamba za viatu vyao mfano Artunovic ila bado hawana majina bado EPL. Sammata mchezaji mzuri ila siyo star kama tunavyosema nchi yetu watu wanaongea sana. Olunga yule mkenya aletupiga magoli angekuwa Mtanzania watu tungeongea sana ila mkenya so wakawaida.
[emoji23]Nitajie streka ambaye angalau samagoal anamfikia pale EPL.. Anza na timu za chini kabisa maana kwa top 10 hakuna hata mmoja
Aston villaKiwango cha Samatta ni cha kucheza timu mbili tu: Genk & ccm.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchawi vip.....hahahaha..ujuaji mwing sana mtoa mada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio kaenda sasa......kila mmoja atafunga kamba za viatu vyake!!
Kwa hiyo Aston Villa hawajaona mchezaji mwingine dunia nzima mpk wakamchukua asiye na kiwango cha kucheza EPL?Labda akacheze championship,
Umeamua ufukue makaburi sio?Wenye akili tulishaliona hili, premier League hakuna ujanja ujanja like ni kazi tu
Unasema je mkuuKwa hiyo Aston Villa hawajaona mchezaji mwingine dunia nzima mpk wakamchukua asiye na kiwango cha kucheza EPL?
Halafu ili uwe na kiwango cha kucheza EPL unatakiwa uwe na pembe kichwani au uweje?
Mpeni muda, ndio tujue. Wabongo tuache uchawi. Kuwa mchawi sio lazima uwe na tunguri
Sent using Jamii Forums mobile app