Bashite amefanya tuichukie stars kwa kwelikitendo cha bashite kuwa karibu na timu ya taifa ni kama kahamishia gundu lake kwa wachezaji.
nyota ya samatta licha ya kuwa mmoja ya wafungaji bora wa league ya ubelgiji msimu uliopita ni kama imeshafifia.
Hahahahahahahahah.......Ni mchezaji bora wa Africa anayecheza Belgium Lakini sio top Scorer wa Ligi ya Belgium wewe huoni utofauti hapo unashindwa kutofautisha kati ya Mfugqji bora na Mchezaji bora kweli we jamaa vipiHayo ma- play off ni ya kutafuta tu anayecheza uefa na uropa....mwenzako kabla ya playoff alikuwa anaongoza...mi siyahitaji hayo ma-playoff....ila tuzo ya mchezaji bora wa Africa anayecheza ubelgiji kachukua kwa nn wasimpe huyo mtunisia wenu....ninyi wabongo mna wivu sana na mafanikio ya wenzenu...tengeneza ya kwako na ww ukumbukwe...
Sijui nisikujibu!!...ila basi ngoja nikujibu..kila ki2 kinakwenda kwa hatua ndugu..kwan mbwana kakaa mazembe muda gan?? Misimu minne mitano hivi...kwan kipindi yupo mazembe ilimaanisha hakuwa na kiwango cha kucheza ulaya?...ni hatua kwa hatua..ni mpaka pale timu ya ulaya ilipomuona ndipo wakamsajili...kwa hiyo hata timu yoyote kubwa yenye mapungufu kwenye ushambuliaji ikimuona ikamkubali itamchukua...kwan si msimu wake wa pili tu huu...na hakuna uhakika kama atabaki Genk msimu ujao....ninyi wabongo cjui mna matatizo gani aisee...chuki za kishamba tu..Mbongo kwa ubishi! Samatta ni mchezaji wa kawaida. Huwezi kumweka kwenye lile kundi la wachezaji wa kiwango cha juu! Na ndiyo maana bado yupo Ubelgiji mpaka sasa na hajapata timu kwenye zile nchi zenye ligi ngumu na nzuri
endelea kusubiri. Chama chajiuza kibaya.... Ana miaka 26 kipindi ambacho yuko kileleni...Sijui nisikujibu!!...ila basi ngoja nikujibu..kila ki2 kinakwenda kwa hatua ndugu..kwan mbwana kakaa mazembe muda gan?? Misimu minne mitano hivi...kwan kipindi yupo mazembe ilimaanisha hakuwa na kiwango cha kucheza ulaya?...ni hatua kwa hatua..ni mpaka pale timu ya ulaya ilipomuona ndipo wakamsajili...kwa hiyo hata timu yoyote kubwa yenye mapungufu kwenye ushambuliaji ikimuona ikamkubali itamchukua...kwan si msimu wake wa pili tu huu...na hakuna uhakika kama atabaki Genk msimu ujao....ninyi wabongo cjui mna matatizo gani aisee...chuki za kishamba tu..
We jamaa huelewi nn..mbona unakaza sana fuvu.....nimekwambia Yale ma-playoff yanatafuta anayecheza uefa na Europa....mzunguko wa mechi za ligi ni 30..Hahahahahahahahah.......Ni mchezaji bora wa Africa anayecheza Belgium Lakini sio top Scorer wa Ligi ya Belgium wewe huoni utofauti hapo unashindwa kutofautisha kati ya Mfugqji bora na Mchezaji bora kweli we jamaa
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Hahahahahahahahah hahahahahahahahah Ficha ujinga wako hahahahahahahahahWe jamaa huelewi nn..mbona unakaza sana fuvu.....nimekwambia Yale ma-playoff yanatafuta anayecheza uefa na Europa....mzunguko wa mechi za ligi ni 30..
Kilele cha mapenzi labda...endelea kusubiri. Chama chajiuza kibaya.... Ana miaka 26 kipindi ambacho yuko kileleni...
Hueleweki....cjakuelewaHahahahahahahahahhahahahahahahahah Hahahahahahahahah hahahahahahahahah Ficha ujinga wako hahahahahahahahah
Hahahahahahahahah Again Samatta hajawahi kuwa Top scorer wa Ligi ya Belgium na Aliyekudanganya kuwa zile mechi za Playoff huwa hawahesabu magoli yake ni nani MkuuHueleweki....cjakuelewa
Hata Kama wa pili ila bado ni Mfungaji bora maridadi kwa mtu toka Tanzania hadi Ulaya na unashine sio masiharaSamatta hakuwa mfungaji Bora alikuwa mfungaji bora wa pili
1 .Hamdi Harbaoui 25 GoalsHueleweki....cjakuelewa
Huyo wa Kwanza ana penalty 10 je samatta ana penalty ngapi?1 .Hamdi Harbaoui 25 Goals
2.Samatta 23 goals
3.ivan Santini 16 goals
HONGERA KWA KUMPA SAMATTA U- Top scorer wa JF.
Hahahahahahahahah......... na Samatta siangekuwa anapiga na Yeye kwani alishikwa miguuHuyo wa Kwanza ana penalty 10 je samatta ana penalty ngapi?
Jibu swaliHahahahahahahahah......... na Samatta siangekuwa anapiga na Yeye kwani alishikwa miguu
Pita hiviπππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππhuelewi...Hahahahahahahahah Again Samatta hajawahi kuwa Top scorer wa Ligi ya Belgium na Aliyekudanganya kuwa zile mechi za Playoff huwa hawahesabu magoli yake ni nani Mkuu
Hahahaha..penalty goals....eti mkuu huyo mtunis amekupa nn[emoji1787]1 .Hamdi Harbaoui 25 Goals
2.Samatta 23 goals
3.ivan Santini 16 goals
HONGERA KWA KUMPA SAMATTA U- Top scorer wa JF.