Kusema kwamba wanawake ni wale wale hiyo ni Old think(primitive thinking).
Kuwa na uwezo wa kifedha sio equivalence ya kuwa na akili nyingi kwa sababu upatikanaji wa hela upo wa aina nyingi. Kwa mfano.
1. Kurithi
2. Kazi yenye maslahi mazuri
3. Zawadi na motisha mbalimbali
4. Wizi
5. Ufisadi
6. Rushwa
7. Dhulma, hizo ni baadhi kati ya nyingi
Kusema kwamba wanawake ni wale wale hiyo ni Old think(primitive thinking).
Kuwa na uwezo wa kifedha sio equivalence ya kuwa na akili nyingi kwa sababu upatikanaji wa hela upo wa aina nyingi. Kwa mfano.
1. Kurithi
2. Kazi yenye maslahi mazuri
3. Zawadi na motisha mbalimbali
4. Wizi
5. Ufisadi
6. Rushwa
7. Dhulma, hizo ni baadhi kati ya nyingi
Kumbe kuna species nyingine za wanawake!! , emu nifafanulie hiyo current thinking about women
Pia si rahisi kumtawala mwanamke aliyekuzidi kipato, je unajua kinachomfanya mwanaume kuhangaika migodini
mashambani. Safari ndefu na ufisadi ni kutafuta kutimiza majukumu ya wanawake ?
Kama wewe ni me unajisikiaje unaposimamia shoo zote za nyumbani kwako, kwao mke na kwenu? nasikia ni raha kuliko
hata kuvaa nguo au chakula unachokipena kitu tofauti kabisa na Jinsia ke ambapo furaha yako kubwa ni kupokea yaani
ndo ataona anathaminiwa naye ni mtu duniani
Je unajisikiaje unapokoroma kukemea kitu watu wote wanakaa kimya, hivi unajua unaweza kukemea tabia mbovu za
mabinti wako uliowazaa utakuja gundua aliyeko nyuma ya yote ni mke wako anayekuzidi kipato , je unafikiri utashinda
hiyo vita salama au utakaa kimya yapite?
Kwenye maisha ya ndoa kuna vitu vya kidemocrasia na vingine vya kibabe na hutaweza kuviamua unless una nguvu
iliyoko nyuma yako nayo si nyingine bali ni KUMZIDI MAKE KIPATO ama kama hushiki ushauri huu chagua kuwa dhaifu
ambapo maamuzi yako ya msingi kabisa yenye tiba kwa kizazi chako yanaweza kufanyiwa kazi ama la..