Ni Aibu Kujenga Kitu HichoNenda kabomoe...
Hauhitaji kujua.. umemzaa wewe.. ni mwanao?Kemea Udini Kwa Mastaa, Hatuhitaji Kujua Wanamuabudu Mungu Gani ?
We ndio chizi kabisa.. topic inahusu dini au michezo?ana akili kulinganisha na wewe popoma
We Mama Sikuelewi !? Mada Inamhusu nani? michezo? huyo mwanamichezo kapata mafanikio kakimbilia kujenga msikiti badala ya shule au hospitali jamii nzima inufaike, sasa kila mwanamichezo akipata mafanikio miongoni mwa jamii zenye imani tofauti akajenge nyumba ya ibada ya dini yake? Huo ni ujuha, michezo haikuzwi na imani za kidiniWe ndio chizi kabisa.. topic inahusu dini au michezo?
NgamaNdidi
BarikiwaHuu ndio ukweli nishabishana sana na watu mtaani jamaa akitaka tumpoteze kwenye soka aende epl aiseeeee......atapata frustration kama alizopata torres pale chelsea mpaka yeye na goli anapiga nje.......akimbilie france kwanza
Sifahamu umri wa wanyama alioenda nao spurs.Alienda Spurs akiwa na umri gani?
Kwahiyo Messi hafiti huko kwasababu kacheza klabu moja tu Ulaya?
Aiseee! Samatta hajazaliwa Europe wala Amerika amezaliwa kwenye nchi ya kikapuku kalelewa maisha ya kikapuku Genk anapata mshahara mkubwa sana na analipwa kwa £ s mchezo.kwani, kama atakuwa analipwa mshahara mkubwa wa mamilioni ya euro, hata akikaa bench kuna shida gani, kuliko kukaa ubelgiji awe anapokea vielfuelfu? mbona hamjui ujasiriamali ninyi? mwaka mmoja unapata hela ambayo ungepata Gent miaka 10.
Torres wa chelsea?.. wa Liverpool mbona unamkwepa?
Hivi wanaocheza hapo epl wote wametoka ligi moja au timu moja?.. Au wana mizimu kwenye damu?