Samatta kwenda Aston Villa : Haki za Kimbangulile FC zizingatiwe

Samatta kwenda Aston Villa : Haki za Kimbangulile FC zizingatiwe

Kibwailo Rangers si ya Diwani wa juzi tu yule kabla ya hapo alikua Mkoma Nyani FC ya pale Mbagala mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app

Kaka hao Sukamahela FC ni wajuzi tu Samatta alianza kuchezea kibwailo Rangers FC ya mbagala maji Matitu

Sent using Jamii Forums mobile app

Nyie watu bhana! [emoji23] [emoji23]
Naona mumegeuka Wakenya! Samatta amekuwa kacheza Timu nyingi kuliko idadi ya miaka yake [emoji23]
 
Back
Top Bottom