kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kuna wanaosema ni bora aende Uturuki akapate nafasi ya kucheza na kuna wanaosema kutokana na umri wake kiwango chake kimeshuka na kinakwenda kushuka zaidi huko Uturuki bora angebaki tu EPL.
Ukweli ni upi?
Kwani ligi ya Uturuki na ile ya Ubelgiji alikokuwa ni bora ipi?
Ukweli ni upi?
Kwani ligi ya Uturuki na ile ya Ubelgiji alikokuwa ni bora ipi?