Samatta kwenda Uturuki tumpe Hongera au Pole?

Samatta kwenda Uturuki tumpe Hongera au Pole?

Mawazo ya wadanganyika Mara nyingi wanapenda kuona wenzao wanashindwa , cha kumshauri captain wetu asishughurike na maoni hasi ya wadanganyika alenge target yake maana wengi ni watu wa kukatisha tamaa tu.
Jana alicheza mechi yake ya kwanza kule Fenerbahtce, veepee aliisaidia timu ile? wanajuta kumfahamu?
 
Kuna wanaosema ni bora aende Uturuki akapate nafasi ya kucheza na kuna wanaosema kutokana na umri wake kiwango chake kimeshuka na kinakwenda kushuka zaidi huko Uturuki bora angebaki tu EPL.

Ukweli ni upi?

Kwani ligi ya Uturuki na ile ya Ubelgiji alikokuwa ni bora ipi?
Klabu ni kubwa ina zaidi ya miaka 100, pia kupewa airtime muda ule kwa mgeni akiwa na jezi #. 10 si mchezo, tumuunge mkono.
 
Klabu ni kubwa ina zaidi ya miaka 100, pia kupewa airtime muda ule kwa mgeni akiwa na jezi #. 10 si mchezo, tumuunge mkono.
Tumuombee na kumtia moyo, lakini yeye aache kusoma na kufadhaishwa na ya mitandaoni kuhusu yeye. Mungu wake aliyemfikisha pale alipo atampigania kwa mujibu wa alivyomjalia.
 
Tumuombee na kumtia moyo, lakini yeye aache kusoma na kufadhaishwa na ya mitandaoni kuhusu yeye. Mungu wake aliyemfikisha pale alipo atampigania kwa mujibu wa alivyomjalia.
Yeesss...
 
Pole. Ndoto ilikuwa ni kuchezea premier league na sasa ameionja tu. Kurudia tena, sidhani.
 
Kuna wanaosema ni bora aende Uturuki akapate nafasi ya kucheza na kuna wanaosema kutokana na umri wake kiwango chake kimeshuka na kinakwenda kushuka zaidi huko Uturuki bora angebaki tu EPL.

Ukweli ni upi?

Kwani ligi ya Uturuki na ile ya Ubelgiji alikokuwa ni bora ipi?
Unatoka ulaya ya kikristo unaenda,Ulaya ya kiarabu!kiwango kimeisha,siku si nyingi,utasikia yupo Morocco,Mara paap,Kongo,mwisho bongo nyumbani
 
Unatoka ulaya ya kikristo unaenda,Ulaya ya kiarabu!kiwango kimeisha,siku si nyingi,utasikia yupo Morocco,Mara paap,Kongo,mwisho bongo nyumbani
akirudi bongo moja kwa moja Namungo, maana hawezi kupata namba Simba na Yanga
 
Kuna wanaosema ni bora aende Uturuki akapate nafasi ya kucheza na kuna wanaosema kutokana na umri wake kiwango chake kimeshuka na kinakwenda kushuka zaidi huko Uturuki bora angebaki tu EPL.

Ukweli ni upi?

Kwani ligi ya Uturuki na ile ya Ubelgiji alikokuwa ni bora ipi?
Baada ya kufunga ndoa mwaka jana sasa majibu ya ndoa ndio yanaonekana.
 
napenda kuchukua nafasi kuwapa pole wote wenye chuki na mbwana samatta ikiwemo moderators wa jamii forums ambao mlifuta thread iliyokua inamuhusu samatta na mshahara wake ambayo sikuona negativity yoyote zaidi ya kuwapa motisha vijana wapenda michezo wanaotamani kufikia huko aliko. am really sorry for you all.

Moderator
 
Back
Top Bottom