Samatta kwenda Uturuki tumpe Hongera au Pole?

Samatta kwenda Uturuki tumpe Hongera au Pole?

Ukiwa maarufu huwezi kuyakwepa haya. Inawezekana wewe ni mwanachama hai wa CCM
Kwahio unaona bora kukalisha mapumbu na kumjadili mwanaume mwenzio anayevuja jasho uwanjani na kupata pesa nyingi
 
Watanzania tunachekesha sana, nadhani umasikini umetuathiri sana kisaikolojia, mtanzania anaweza kuchambua maisha ya mtu kiasi kwamba hata yule mhusika akashangaa sana.
Ndo sababu vitabu vya din vinatusii tuwaombee na wengine
 
Samata yupo Aston villa. Shafii dauda asikupotoshe.
171BDC85-955D-4A10-B82D-AE83B7759890.jpeg
 
Sura ya Samatta sio ya mwenye miaka 27. Kwa uchache anaweza kuwa amegonga 36
 
Anastahili hongera, na tunapaswa tuelewe kwamba samatta alikuwa akicheza timu ya kawaida katika ligi bora duniani. Kuna vitu vingi ananda kuongea kwenye carieer yake ya mpira kwani Klabu yake ya sasa imekuwa ikishirki vyema katika mashndano ya Europa leage na kidoogo champions leage tofauti na ilovyokuwa Gent
 
Anastahili hongera, na tunapaswa tuelewe kwamba samatta alikuwa akicheza timu ya kawaida katika ligi bora duniani. Kuna vitu vingi ananda kuongea kwenye carieer yake ya mpira kwani Klabu yake ya sasa imekuwa ikishirki vyema katika mashndano ya Europa leage na kidoogo champions leage tofauti na ilovyokuwa Gent
Hongera sana nadhodha wetu. Watu waache sasa kumfuatafuata tena na huko kama ilivyokuwa kwa Aston Villa. Watu wanamfuata kiwanjani eti waone anavyocheza, hii inaweza kumchanganja kijana wetu kwani akili yake badala ya kuwa kwenye dimba pekee anawaza na ndugu na jamaa waliomfuata hadi kiwanjani. Komeni, wacha kijana a concentrate kiwanjani.
 
Kuna suala pia la makato makubwa ya kodi Uingereza nd'o maana wachezaji na mawakala wao wakati mwingine wanapakimbia Uingereza . Mara nyingi walaji ( mashabiki ) hatuwezi kuambiwa kila kitu . Nyuma ya pazia kuna sababu zaidi ya hizi tunazoambiwa . Nafikiri tusubiri kuona atafanya nini Fernebache . Kila la heri kwake .
 
Kuna suala pia la makato makubwa ya kodi Uingereza nd'o maana wachezaji na mawakala wao wakati mwingine wanapakimbia Uingereza . Mara nyingi walaji ( mashabiki ) hatuwezi kuambiwa kila kitu . Nyuma ya pazia kuna sababu zaidi ya hizi tunazoambiwa . Nafikiri tusubiri kuona atafanya nini Fernebache . Kila la heri kwake .
Mmmh, kwahiyo nahodha wetu yawezekana alicheza chini ya kiwango AV ili akimbie Kodi kubwa za EPL?
 
Kuna suala pia la makato makubwa ya kodi Uingereza nd'o maana wachezaji na mawakala wao wakati mwingine wanapakimbia Uingereza . Mara nyingi walaji ( mashabiki ) hatuwezi kuambiwa kila kitu . Nyuma ya pazia kuna sababu zaidi ya hizi tunazoambiwa . Nafikiri tusubiri kuona atafanya nini Fernebache . Kila la heri kwake .
Mhh tupe mfano wa mchezaji Bora ,aliyekimbia Kodi Uingereza!
 
Tunachosema mwqcheni kijana wenu acheze mpira, msimpelekee mikosi yetu huko uturuki Tena Kama mlivyofanya Aston Villa. Kama hamkwenda uwanjani akiwa TP Mazembe na Genk kwanini mlifanya hivyo Aston Villa? Wacheni mawzo yake yawe dimbani, asiaze Tena kuanza kujibu message za watu mitandaoni Kama alivyofanya akiwa Aston Villa.
 
Mmmh, kwahiyo nahodha wetu yawezekana alicheza chini ya kiwango AV ili akimbie Kodi kubwa za EPL?
Kama wewe siyo great thinker huwezi kunielewa . Wewe unajikita kwenye sababu ulizoambiwa , sisi wengine huwa tunapenda kushughulika na yale yasiyosemwa hadharani . Think well brother .
 
Mawazo ya wadanganyika Mara nyingi wanapenda kuona wenzao wanashindwa , cha kumshauri captain wetu asishughurike na maoni hasi ya wadanganyika alenge target yake maana wengi ni watu wa kukatisha tamaa tu.
 
Back
Top Bottom