Samatta tena!

Samatta tena!

Kama sheria za FA pale england zisingekuwa zinabana samatta angeweza kutua kwenye timu mojawapo
 
Watu sijui wakoje kwani kukiri ni mchezaji aliyepaishwa na simba kunakupunguzia nini? Samatta Tp mazembe walimwona baada ya simba kucheza nao.Chaajabu nini hapo? Simba ikiwakilisha Nchi kina kichuya,Ndemla na Ajibu nao wataenda tu, simba si timu ya kubahatisha ati.
Waambie hao,
 
Back
Top Bottom