OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kubali makosa mkuu,acha ujuaji umenasaNaona una stamina ya ubishi!...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubali makosa mkuu,acha ujuaji umenasaNaona una stamina ya ubishi!...
Huyu alipitia pale bwawani ndo maana safari iliisha kabla haijaanza.Kama wachezaji wengine wasingelewa sifa nadhani tungekuwa na wachezaji wengine wengi nje ya nchi.
Juzi nasikia ngassa nae anataka kwenda kucheza tena soka la kimataifa "Nilitetemeka sana"
Nikubali nini, kwani basket ni mpira? Wewe ndo uache ujuaji...Kubali makosa mkuu,acha ujuaji umenasa
Kweli aisee. Jamaa wana sheria ngumu hasa. Mojawapo ile ya mchezaji anaeenda epl kama senior player nchi yake lazima iwe ndani ya 70 FIFA.Kama sheria za FA pale england zisingekuwa zinabana samatta angeweza kutua kwenye timu mojawapo