Samatta Vs Msuva Timu Ya Taifa!

Huyu sio samata ni Molinga aliyechangamka
 
Ukienda Mbagala watu wanashangaa Mbwana kawezaje kucheza Ulaya wakati fundi kaka yake anamaliza soka Bongo...uchawi upo
 
Kocha nalo senge tu, we mmefika dk ya 60 unashindwa kujaza viungo na kuvuruga mipango tu ya Libya?? Msuva naye wakati mwingine ingia Kwnye 18, siyo kila muda unapiga cross tu.

Na tutolewe tu watu wapumzike!!
 
we umesimamia kucha hapa ila siku akifanya vizuri utakuja tena kusifia ndo wabongo mlivyo baya la siku1 unasahau mazuri yote bila kujua kila kitu kina wakati wake
Lini kafanya vizuri toka yuko mazembe ni hivi hivi tu
Hata huyu farid hamna kitu boravwaitwe madogo wa chan waongezewe msuva basi hawa wa ulaya mizunguo tu
 
Lini kafanya vizuri toka yuko mazembe ni hivi hivi tu
Hata huyu farid hamna kitu boravwaitwe madogo wa chan waongezewe msuva basi hawa wa ulaya mizunguo tu
Mechi nyingi tu ameibeba Taifa stars kwani mpira umeanza lini kuangalia
 
Samatta alishayumba tangu game ya Dar.

Imeniuma sana, ile game ilikuwa ya kuchukua point tatu kabisa japo hata refa alitunyonga.
 
Bora wacheze akina Chilunda na Nado dak 90 lakini sio Samatta,natambua uwezo wake lakini ni ukweli ulio wazi kwamba hivi karibuni akiwa timu ya taifa amekuwa hajitumi kabisa.

Naunga mkono hoja.
 
Mbona walifanya vizuri dhidi ya Sudan bila kina Samata na Msuva ?
 
Mechi ya jana ukiachana na maamuzi mabovu kama tungekuwa makini tungeshinga. Wachezaji wetu wanakosa umakini, makosa wanayofanya ni mengi mno na ndio yanatugharimu. sasa mtu unafanya tackling ndani ya 18 unategemea nini, kuna beki mmoja alicheza faulo ndani ya 18 na refa akapeta, wachezaji wetu waongeze umakini hata kama viwango ni vidogo.
 
Samata ni molinga aliyechangamka😛😛
 
Samata kule genk anawika sababu kuna mastaa wanambeba na kumpa sapoti kubwa, samata sio ball dribbler kama msuva Bali ni mmaliziaji
 
Msuva ni bora kuliko Champion Boy 255
 
Mbwwna Samatta ameanza kupata changamoto kubwa pale Genk kwani ujio wa Koch's mpya. H. Wolf toka Ujerumani umeanza kumfanya awe chaguo LA pili (kuanzia bench) katika ushambuliaji. Leo ni mechi ya pili namwona Mbwana Samatta akianzia benchi dhidi chaguo LA kwanza kwa sasa .P. Unuachu toka Nigeria.
 

Yaaa ila Genk msimu huu hamna kitu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…