Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Huyu sio samata ni Molinga aliyechangamka
Hapa kunawatu wanashindwa kuelewa hatumlaumu samatta kwakua tumefungwa, Hata tungesginda Ila bado tusingeridhishwa na kiwango anachoonesha samatta katika timu ya taifa. Wote tunajua kua huu sio uchezaji wa samatta Bali anajilinda asipate majeruhi. Hali hii inapelekea atoe msaada kidogo Sana katika timu.
Tutaendelea kumlaumu samatta Kama akiendelea kucheza namna hii Kama anaogopa majeruhi Basi ahakikishe hapotezi mipira ambayo wachezaji wenzake wanaangaika kuicover yeye anapoteza kirahisi anawashusha morali wachezaji wenzake na pia anapelekea kutokea makosa mengi mpaka kupoteza mchezo.
Ni muda sahihi Sasa kutomtegemea samatta katika timu ya taifa Bali tuwape nafasi wachezaji wengine waoneshe ushindani katika namba ya samatta anatuangusha Sana.