KERO Same Mjini wizi wa TV umekithiri, mwezi mmoja zimeibiwa TV zaidi ya 30?

KERO Same Mjini wizi wa TV umekithiri, mwezi mmoja zimeibiwa TV zaidi ya 30?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Noma sna mkuu apo same station kuna mtoto wa kiarabu alishaniambukiza kisonono nilishangaa sna 😁
Nlikuwa nakujaga mara Moja Moja napanda gari Moshi Same chap nawacheki wanangu pale tunazama karioki😁ni muhuri, Sema kule magonjwa kawaida wamama wa kipare wanabless Vijana wadogo
 
Nlikuwa nakujaga mara Moja Moja napanda gari Moshi Same chap nawacheki wanangu pale tunazama karioki😁ni muhuri, Sema kule magonjwa kawaida wamama wa kipare wanabless Vijana wadogo
Mkuu unajua harakati za pale same 😄😄 nikija huko lazima nikawacheki madogo ni wabless sema matoto ya sasa ivi Malaini sna.
 
Mkuu unajua harakati za pale same 😄😄 nikija huko lazima nikawacheki madogo ni wabless sema matoto ya sasa ivi Malaini sna.
Wanangu kibao wamepigia pale, mm nlikuwa Moshi sema nlikuwa naenda sana mpaka pamekua kama home
 
Mji wa Same ni mdogo sana ila inashangaza ndani ya wiki tatu zilizopita zimeibiwa TV nyingi sana, je, zinakwenda wapi? Au zinauzwa wapi?

Maeneo ya Sterling na Stesheni kwa mfano zimeibiwa TV nne kwa siku moja, hii sio kawaida. Polisi hebu fuatilieni zinakopelekwa? Au kama hazijatoka Same zimefichwa wapi?
Dah hapo nimesoma same sec huo mji na uchukia sana umekaa kimateso sana cwez imagine kuna watu maisha yao ndio hapo full time mateso tu
 
Back
Top Bottom