Dar wakiiba Sinza wanapeleka TMK vibanda umiza ajili kuonyesha mpiraMh flat tv zinaibiwa sana. Kama Dar ndio balaa.
Shule kubwa sikatai ila same hamna mjiMkuu unatukosea sna wakali wa same boysπ€£π€£
Noma sna mkuu apo same station kuna mtoto wa kiarabu alishaniambukiza kisonono nilishangaa sna πShule kubwa sikatai ila same hamna mji
Nlikuwa nakujaga mara Moja Moja napanda gari Moshi Same chap nawacheki wanangu pale tunazama kariokiπni muhuri, Sema kule magonjwa kawaida wamama wa kipare wanabless Vijana wadogoNoma sna mkuu apo same station kuna mtoto wa kiarabu alishaniambukiza kisonono nilishangaa sna π
Niko paleeππmstaarabu awe weweWapare sisi ni watu wastaarabu mno
Mkuu unajua harakati za pale same ππ nikija huko lazima nikawacheki madogo ni wabless sema matoto ya sasa ivi Malaini sna.Nlikuwa nakujaga mara Moja Moja napanda gari Moshi Same chap nawacheki wanangu pale tunazama kariokiπni muhuri, Sema kule magonjwa kawaida wamama wa kipare wanabless Vijana wadogo
Wanangu kibao wamepigia pale, mm nlikuwa Moshi sema nlikuwa naenda sana mpaka pamekua kama homeMkuu unajua harakati za pale same ππ nikija huko lazima nikawacheki madogo ni wabless sema matoto ya sasa ivi Malaini sna.
Watoto wa saivi wadogo wadogo sana aiseeMkuu unajua harakati za pale same ππ nikija huko lazima nikawacheki madogo ni wabless sema matoto ya sasa ivi Malaini sna.
Mirungi si inatokea Kenya?Akina Mshanajr Mbagajr karibuni huku, yawezekana vijana wengi wamebanwa kwenye kilimo cha mirungi wamehamia kwenye TV
Sure mkuu.Watoto wa saivi wadogo wadogo sana aisee
Ndo nakuambiaNiko paleeππmstaarabu awe wewe
π€£π€£π€£π€£Sehemu kama same unakosea kutumia neno 'mjini' Sema same kijiweni
Dah πππNoma sna mkuu apo same station kuna mtoto wa kiarabu alishaniambukiza kisonono nilishangaa sna π
Why dah mkuuππDah πππ
Mtoto wa kiarabu halafu akakuambukiza kisononoWhy dah mkuu[emoji16][emoji16]
Pale si unapajua ππ€£π€£π€£π€£
Una dhambi!!
Ni hatari pale same boys mkuu mzunguko ni mdogo sana πMtoto wa kiarabu halafu akakuambukiza kisonono
Dah hapo nimesoma same sec huo mji na uchukia sana umekaa kimateso sana cwez imagine kuna watu maisha yao ndio hapo full time mateso tuMji wa Same ni mdogo sana ila inashangaza ndani ya wiki tatu zilizopita zimeibiwa TV nyingi sana, je, zinakwenda wapi? Au zinauzwa wapi?
Maeneo ya Sterling na Stesheni kwa mfano zimeibiwa TV nne kwa siku moja, hii sio kawaida. Polisi hebu fuatilieni zinakopelekwa? Au kama hazijatoka Same zimefichwa wapi?
Kwanza kitu huwa 'HAKIIBIWI', bali mwenye kitu ndiye 'ANAYEIBIWA'! Sina shaka jamaa anatufahamisha kuwa TV 'ZINAIBWA'!Tv zinaibiaje?? Kwamba wanazikuta nje wa wanabomoa??