Same: Watu 11 wafariki kwa ajali ya gari

Same: Watu 11 wafariki kwa ajali ya gari

Nilipita nikaona hiyo ajali jana. Innalillah wainna illayhi rajiuun
 
Alfad asee...hizo gari nasikia watu wanazigeuzaga guest
Ila jamii forums ina watu wengi wanaotumia uji kufikiri aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani nimecheka sana jamani
 
Alphad imechomoka tairi ikakosa muelekeo ndio ikagonga haisi ilio kua na abiria wanao toka hedaru kuelekea same, na hata hvyo tumepoteza majirani zetu na ndugu pia. Innalillah wainna ilayranjuin.
Nakurekebisha:
Tairi haikuchomoka, bali ili-bust
 
Back
Top Bottom