ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Kazi zake zitambeba atashinda !Ni binadam tu au ubaguzi lakini alicho kifanya mwinyi znz ni kikubwa kuliko rais matajio
Sana tu.Kazi zake zitambeba atashinda !
Zenji imebadilika sana kimiundombinu.Kazi zake zitambeba atashinda !
Watu wengi wanasema hivyo !Zenji imebadilika sana kimiundombinu.
Sure broWatu wengi wanasema hivyo !
Nasi twasema Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni π
Pigo litakuja kwa namna gani na kutoka kwa nani ???!CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu. Nimekaa pale ππ
Pigo litaanzia toka ndani ya CCM yenyewe.Pigo litakuja kwa namna gani na kutoka kwa nani ???!
Kutoka kwenye masanduku ya kura ???!
Nami nimekaa palee nasubiri na codes zangu kichwani π¨βπ» !
Unaona na kuamini wapo watu wenye ujasiri huo humo ndani ??!Pigo litaanzia toka ndani ya CCM yenyewe.
Wanachama hai hawazuiwi na kitu chochote kupiga kura yake kwa yeyote yule wanayemtaka !CCM TUPO WANACHAMA HAI 15ml.,kwenye data tanzu yetu.
Kwakweli itakuwa shughuli pevu !Kwa ushindi huu wa Lissu, ngoma si nyepesi tena kwa CCM.