Samia aizika CCM rasmi: Ugonjwa wa mbeleko za kisiasa zaanza kuitafuna CCM yenyewe

Yani hajiamini hata kidogo,na mchakato wa kawaida ungetumika ndo kabisaa angewekwa mbali,
Pamoja na hayo anayotufanyia watanganyika sio sawa,
Inakuaje jamhuri inaongozwa na familia toka zenji
 
Leo Jakaya kacheza kama pele πŸ”₯πŸ”₯
 
Alie haribu ni yule jamaa zamani aya mambo yalikuwa hayapo ya uchawi nashangaa chura kiziwi anawezaje kuvumilia Sifa za uongo
 
Umenena neno. Uswahili hapo ndio umefanyika. Umekumbusha katiba na taratibu. Mgombea lazima apite kupata sahihi za wanachama kuunga mkono uamuzi wake kutaka kugombea. Huu uhuni unatoka wapi? Ukimuona mtu anajiita 'Dr' Nchimbi ujue kwake ni mambo ya kihuni tu. Kwa ufupi uteuzi huo ni non and void maana ni kinyume na katiba na taratibu za ccm. Mpango mzima wa kushtukiza ni uhuni mtupu.
 

Kilichofanyika leo DODOMA ni thuggery, ni uhuni tu!.
 
Iiih, kwa kweli , aiseeeh !
 
This was so informal.

Sasa kama uchaguzi wa chama unakua wa kihuni hivi, huo wa nchi ndo utakuaje?

Hata kipofu anaona sasa mnachokifanga Why?

Sijui lkn hapa labda tuwategemee the state kama kweli they are loyal to our Nation.
 
Yani hajiamini hata kidogo,na mchakato wa kawaida ungetumika ndo kabisaa angewekwa mbali,
Pamoja na hayo anayotufanyia watanganyika sio sawa,
Inakuaje jamhuri inaongozwa na familia toka zenji
Si ninyi mliosema unatumia dola kubaki madarakani?
 
βœ…πŸŸ’πŸŸ’πŸŸ’πŸŸ’πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™


Sasa kumekuchaaaaaa, Jogooo limewika Dodomaaaa, Kada wa CCM tumpe kura za ndioooooooooo..!!!

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ


Hongera sana Mh. Rais Samia, Mwenyekiti na Mgombea wetu wa Urais wa CCM, hongera sana Mh. Balozi Dr. Emanuel Nchimbi, kuwa mgombea mwenza wa Urais wa CCM

Jogoo limewika Dodomaaaa….!!! πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…