Samia Housing Scheme itaongeza pato la Taifa

Samia Housing Scheme itaongeza pato la Taifa

Yeye ndio mfanya maendeleo yeye ndo mtekelezaji bila kupitisha yeye kitu hakifanyiki
Acheni habali zenu Bwana msituzingue hapa, ungesema anatekeleza ilani ya chama Chake ungeeleweka, eti yeye ndo anapanga , inawezekanaje mtu mmoja akaweza wapangia watanzania mil 60,

Msiwe mnajitoa hufaham Bwana, huyo anatekeleza Kama kiongozi mkuu wa serikali chini ya mkataba au ilani Kati ya chama chenu na wananchi, mnapenda siasa wakati siasa haiwapendi hata vitu vidogo hamuwezi elewa, sifa,sifa mpaka WENDA mwenyekiti wenu huwa anawashangaa
 
Hapo Sasa tuandae nyembe za kunyolea vipara,maana Kuna harufu ya kupigwa makofi ya vipara au makonzi!
Timu Msoga wapo makini sana kuchonga mizinga ya asali!!
 
Nilidhani ni ile Samia Scholarships; kumbe Kuna SHS tena!
Mama ana mpango wa kujimilioisha nchi. Kwanini anatia jina lake kwenye hizi kazi ambazoa anapaswa kuzisimamia na zinazotumia fedha ya serikali ??
 
NHC mtujengee nyumba mzuri kama hizi za huko Nigeria 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220925-143314.png
    Screenshot_20220925-143314.png
    338.1 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220925-143338.png
    Screenshot_20220925-143338.png
    328.8 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220925-143310.png
    Screenshot_20220925-143310.png
    355 KB · Views: 6
Back
Top Bottom