Naomba kuelewa wadau
👉.12% ni kiasi gani uwekezaji huo unaanzia kwa mwananchi yoyote
👉.je Baada ya Samia kutoka madarakani huu mfuko wa uwekezaji utaendelea?
👉.Faida zake ni zipi na hasara zake ni zipi?
Naomba kupata elimu juu ya hiki kitu tafadhali?
👉.12% ni kiasi gani uwekezaji huo unaanzia kwa mwananchi yoyote
👉.je Baada ya Samia kutoka madarakani huu mfuko wa uwekezaji utaendelea?
👉.Faida zake ni zipi na hasara zake ni zipi?
Naomba kupata elimu juu ya hiki kitu tafadhali?