Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Wewe ndio mkurugenzi mkuu?Mama Samia Infrastructure Bond ni fursa ya uwekezaji kwa ajili ya kukuza kasi ya miradi ya uwekezaji nchini.
Kiwango cha chini cha uwekezaji ni shilingi laki tano (500,000/) ambapo utavuna riba ya asilimia 12 (12℅) kwa mwaka.
Karibu sana Mtanzania, tembelea tawi lolote la CRDB leo.