Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Wewe ndio mkurugenzi mkuu?Mama Samia Infrastructure Bond ni fursa ya uwekezaji kwa ajili ya kukuza kasi ya miradi ya uwekezaji nchini.
Kiwango cha chini cha uwekezaji ni shilingi laki tano (500,000/) ambapo utavuna riba ya asilimia 12 (12℅) kwa mwaka.
Karibu sana Mtanzania, tembelea tawi lolote la CRDB leo.
Kweli, kweli!Huu ni utapeli kama utapeli mwingine kwa mwananchi wa chini.
Kwa tajiri kama wewe TAJIRI MKUU WA MATAJIRI, mna pesa nyingi, nyingine haramu, ni fursa nzuri sana kwenu kufanya utakatishaji
Kuwasiliana nenda tawi lililopo jirani nawe. Mimi kishoka tuWewe ndio mkurugenzi mkuu?
Hivi kwa nini lugha ya kiswahili inataka kuharibiwa sana na matapeli pamoja na machawa hii?Mama Samia Infrastructure Bond ni fursa ya uwekezaji kwa ajili ya kukuza kasi ya miradi ya uwekezaji nchini.
Kiwango cha chini cha uwekezaji ni shilingi laki tano (500,000/) ambapo utavuna riba ya asilimia 12 (12℅) kwa mwaka.
Karibu sana Mtanzania, tembelea tawi lolote la CRDB leo.
Hah haha hahaHivi lugha ya kiswahili inataka kuharibiwa sana na matapeli na machawa hii.
Rais anaitwa Samia, hana mtoto anayeitwa Samia, ana watoto wenye majina tofauti tofauti.
Kiswahili sahihi anaitwa 'Rais Samia'
Kwa wale walamba miguu, mlitakiwa kumuita 'Mama Abdul' na siyo 'mama Samia'.
Hii ni mbinu mojawapo ya CCMKwa miaka mingapi huo mfukoni utafanya kazi?
Hawa jamaa wajanja, wanajua Wabongo hufa mapema na Wabongo hawajui namna nzuri ya kurithisha mali watu wao wa karibu hivyo hiyo pesa itapotelea mikononi mwao Ukifa.
Haya vipi Samia akistaafishwa na Lissu mwakani bado mtaendelea kuita mama Samia hicho kidudu chenu cha utapeli au mtawapiga chenga wananchi?
Mipango inakosa umakini katika hali halisia.Samia amefeli
ndio umemtag kabisa 🤣🤣🤣Ndio hapo MamaSamia2025 atakapoishia jela, maana katiba mpya yaja
Hivi Yale mabasi zaidi ya 50 CCM wameyanunua ya nini? Wanatumia hela za umma vibaya kwa vitu visivyo na tija wala MSAADA kwa taifa.Mipango inakosa umakini katika hali halisia.
Hata hesabu iweje, hii ni biashara kichaa ambayo inaweza kufanywa na mafisadi Papa na wauza madawa ya kulevya ili kutakatisha pesa zao chafuUmekosea, kwa hesabu yako inamaana riba kwa mwaka inakuwa 120%. Hii haijawahi kutokea kwenye sayari yetu ya dunia kwenye mifuko ya uwekezaji kutoa kiwango hicho, labda DECI.
Majambazi wabarikiwaHivi Yale mabasi zaidi ya 50 CCM wameyanunua ya nini? Wanatumia hela za umma vibaya kwa vitu visivyo na tija wala MSAADA kwa taifa.