Samia kukinywea kikombe cha Harris Kamala Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa chama gani na opponent yupi!?
Ishu sio chama, inshu ni mwanamke. kwasababu ambazo amezianisha mleta Uzi yupo sahihi nyingine uzanzibar , hivi unafikiri kwa tamaduni za kisukuma ,msukuma anaweza kutoka asbh akampigie mwanamke kura awe raisi!!!
 
Haha
 
Ishu sio chama, inshu ni mwanamke. kwasababu ambazo amezianisha mleta Uzi yupo sahihi nyingine uzanzibar , hivi unafikiri kwa tamaduni za kisukuma ,msukuma anaweza kutoka asbh akampigie mwanamke kura awe raisi!!!
Shukrani, umejibu vizuri sana!!
 
Hakuna chama Wala mtu wa kumzidi Samia hapa Bongo
 
Hakuna chama Wala mtu wa kumzidi Samia hapa Bongo
Wakati wa gharika kuu Nuhu anajenga safina watu walikuwa na Mawazo ya kijinga kama yako!!
Samia ni mweupe sana, hatakiwi hata ndani ya Chama kwa taarifa tu.

Anapingwa ndani na nje ya chama!!!
Huelewi kwakuwa wewe ni mgeni!!!
Ila kama unaishi Tanzania basi UTAKUWA MWIZI NA FISADI SERKARINI kwahiyo unaogopa akitoka mtu ambaye anachekelea NYANI WANAOKULA mahindi itakuwa ni tatizo.

Samia hatoboi!!!
 
Naunga mkono hoja. Apigwe chini tu
 
Ukweli ndio huo, daima Mwanamke huwa Chini ya Mwanaume. Tanzania itamchagua Rais Mwanaume 2025
 
Siyo kwa Watanzania hawa
.
 

Attachments

  • 20241107_182430.jpg
    62.3 KB · Views: 3
Kasim Majaliwa hafai hata balozi wa nyumba 10 waziri mkuu wa hovyo kupita wote toka uhuru
 
sapoters wa Kamala Haris ni mashoga, wasagaji, watoaji mimba maarufu na wanandoa wa jinsia moja na ndio maana wanatembelea kwenye uzi wa laana wengi wao hawazai na wala hawana watoto.

Kamala Haris kachapwa kiboko kitakatifu na Mungu aliechukizwa na utoaji mimba na ndoa za jinsia moja na mafirauni

Kumbaf sana alaa πŸ’
 
Msoga, Bumbuli na Mtama zinasemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…