Samia kukinywea kikombe cha Harris Kamala Uchaguzi Mkuu 2025

Samia kukinywea kikombe cha Harris Kamala Uchaguzi Mkuu 2025

sapoters wa Kamala Haris ni mashoga, wasagaji, watoaji mimba maarufu na wanandoa wa jinsia moja na ndio maana wanatembelea kwenye uzi wa laana wengi wao hawazai na wala hawana watoto.

Kamala Haris kachapwa kiboko kitakatifu na Mungu aliechukizwa na utoaji mimba na ndoa za jinsia moja na mafirauni

Kumbaf sana alaa 🐒
Issue bkubwa ni JINSIA USA hawawezi kuchagua Rais Mwanamke!!
Na hapa kwetu mwanamke!!!

Kuna mtu humubleo kachangia kasema "Msukuma aamke asubuhi akapange foleni kimchagua Mwanamke"🤣🤣
 
Kitakachotokea 2025 kitadhihirisha kwamba "Nothing is permanent but interests, not even friendship"
 
Kungekuwa na tume huru ingekua rahisi kum replace na mtu mwengine ila kama tume iko chini yake na mahakama, bunge vyote ana influence navyo sioni pa kutokea.
 
Back
Top Bottom