Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Swali dogo hasa kwa Hawa wafuatao;
1. Wizara ya Sheria na katiba.
2. Bunge.
3.Mahakama
4. Vyombo vya ulinzi.
5. Vyombo vya usalama.
6. Vyama vya upinzani
7.Tundu lissu.
8. Magazeti na vipeperushi.
9. Tv na radio
10.madhehebu ya dini.
Je rais Samia kujitangaza mgombea urais hajakiuka katiba na Sheria za uchaguzi?
1. Wizara ya Sheria na katiba.
2. Bunge.
3.Mahakama
4. Vyombo vya ulinzi.
5. Vyombo vya usalama.
6. Vyama vya upinzani
7.Tundu lissu.
8. Magazeti na vipeperushi.
9. Tv na radio
10.madhehebu ya dini.
Je rais Samia kujitangaza mgombea urais hajakiuka katiba na Sheria za uchaguzi?