ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Kumshunuru na kumpongeza Rais ndio kunafanya hao watendaji wasitimize wajibu wao Hadi wasubirie viongozi Wakuu wa Kitaifa waseme?Haya yote wanayataka mafisiem....
Kila jambo likifanyika utasikia wanamshukuru na kumpongeza Rais.... Mpaka mvua ikinyesha utasikia ni juhudi za mheshimiwa Rais...
Sasa hata wachina kuuza mahindi ya kuchoma lazima juhudi za Rais zitumike kuwaondoa
Nchi ya malamiko... Mwananchi analalamika, mbunge analalamika, waziri analalamika, Mkuu wa Mkoa analalamika, Rais analalamika....
Inahusikaje Sasa na incompetence ya watendaji Kushindwa kutimiza wajibu wao?Yeye Rais ndiyo ametengeneza mfumo wa hovyo wa kuona kila kinachofanyika kinafanywa na Rais, taifa star ikishinda mechi atasifiwa Rais, choo cha shule atasifiwa Rais so watu wanaona kumbe mambo yote ni Rais hawatendaji wengine hawana majawabu.
Akili mtu wanguKwani hao wachina/wageni wana ingia Tanzania kwa ungo au wanapita pale immigration airport?
Africa tulibarikiwa kila kitu, isipokuwa kitu kimoja tuu.
Tanzania watu wanafuata maono ya Rais na siyo dira ya Taifa, kila kinachofanyika ni kwa hisani ya Rais na siyo kwa mujibu wa katiba na sheria, utapata wapi watu competent? watu hutengenezwa kwa mifumo imara wajiamini, upatikanaji wao ukoje?Inahusikaje Sasa na incompetence ya watendaji Kushindwa kutimiza wajibu wao?
Rais hatekelezi Nje ya dira ya Taifa ukiacha wale wajinga wachache ila Kwa Sasa dira inayokuja itafungwa kisheria kabisa kuzuia maamuzi dizaini ya kina Jiwe na hao mbumbumbu wengine unaowataja.Tanzania watu wanafuata maono ya Rais na siyo dira ya Taifa, kila kinachofanyika ni kwa hisani ya Rais na siyo kwa mujibu wa katiba na sheria, utapata wapi watu competent? watu hutengenezwa kwa mifumo imara wajiamini, upatikanaji wao ukoje?
Zipo ndio maana kawakumbusha wahusika na kamtaka Jafo na wengine wakakomeshe huu upuuziBadala ya kutumia matamko ni vema kutumia sera,sharia na kanuni.
Royal tour na annuani za makazi zipo kwenye dira ya taifa? nionyeshe ni ukurasa wa ngapi?Rais hatekelezi Nje ya dira ya Taifa ukiacha wale wajinga wachache ila Kwa Sasa dira inayokuja itafungwa kisheria kabisa kuzuia maamuzi dizaini ya kina Jiwe na hao mbumbumbu wengine unaowataja.
Mbona wanasambaza bidhaa kwenye maduka nchi nzima wanapita kwenye maduka wakiona duka lako limechangamka wanakupa mzigo wa kutosha, faida Kwa hili wanakuongezea mtaji lakini hasara ukishindwa kulipa rejesho kwa muda mliokubaliana wanachukua bidhaa zao pia wewe unalipia gharama zote za uendeshaji na kodiRais Samia amewashangaa watendaji wa Serikali kutoa leseni za biashara ndogo ndogo Kwa wageni akitokea mfano Mchina muuza Mitumba Kariakoo.
Naungana na Rais Samia,hili ni jambo amenifurahisha sana maana nimewahi andika humu jf kwamba inkuaje Wachina wanafanya biashara ndogo ndogo badala ya uwekezaji,nani aliwapa vibali vya kuingia Nchini Kwa Ajili ya biashara ndogo.
Wamefika mbali saizi wamejigeuza Wachimbaji Wadogo wa Madini.Hii tabia ikomeshwe mara Moja kwa Wizara zinazohusika.
View attachment 3034740
My Take
Hongera sana Samia Kwa kuliona hili.
Viongozi wa Serikali sijui hawaelewi,hivi Kila kitu tutasybiria Rais aseme ndio sheria zitekelezwe? Kwa nini tunakuwa Nchi ya watu wasioelewa wajibu wao?
Pia soma Video: Mwekezaji wa Kigeni( Mchina) Amshushia Kichapo Mzawa Wakigombea Eneo la Kuchimba Madini.
Hivi SSH ndo alitumia hiyo kauli au umeongezea chumvi?...Hii tabia ikomeshwe mara Moja kwa Wizara zinazohusika.
Kwenye hili namuunga mkono mhe rais, ni kilio cha muda mrefu. Wapo wachina wanacho hadi mahindi. Hizi biashara ndogo zibaki za wazawa tu, hawa wengine either wakubaoi kuwa wawekezaji wakubwa else wasipewe vibali kabisaRais Samia amewashangaa watendaji wa Serikali kutoa leseni za biashara ndogo ndogo Kwa wageni akitokea mfano Mchina muuza Mitumba Kariakoo.
Naungana na Rais Samia,hili ni jambo amenifurahisha sana maana nimewahi andika humu jf kwamba inkuaje Wachina wanafanya biashara ndogo ndogo badala ya uwekezaji,nani aliwapa vibali vya kuingia Nchini Kwa Ajili ya biashara ndogo.
Wamefika mbali saizi wamejigeuza Wachimbaji Wadogo wa Madini.Hii tabia ikomeshwe mara Moja kwa Wizara zinazohusika.
View attachment 3034740
My Take
Hongera sana Samia Kwa kuliona hili.
Viongozi wa Serikali sijui hawaelewi,hivi Kila kitu tutasybiria Rais aseme ndio sheria zitekelezwe? Kwa nini tunakuwa Nchi ya watu wasioelewa wajibu wao?
Pia soma Video: Mwekezaji wa Kigeni( Mchina) Amshushia Kichapo Mzawa Wakigombea Eneo la Kuchimba Madini.
Kama zipo na hazifanyi kazi basi nisawa na kutokuwepoZipo ndio maana kawakumbusha wahusika na kamtaka Jafo na wengine wakakomeshe huu upuuzi
Kufungua nchi kuna regulations, kufungua nchi haimaanishi kila mgeni aje afanye anavyotaka hapana. Wateule wake huku ndio hawaelewi au wanajisahau kwenye hiliSi alitamba anafungua nchi na wanasiasa uchwara wakamsifia .imekuwaje tena? Uongozi usio na maono lazima utumbukie tu shimoni
Uzalendo kwanza.