Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji

Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji

Haya yote wanayataka mafisiem....

Kila jambo likifanyika utasikia wanamshukuru na kumpongeza Rais.... Mpaka mvua ikinyesha utasikia ni juhudi za mheshimiwa Rais...

Sasa hata wachina kuuza mahindi ya kuchoma lazima juhudi za Rais zitumike kuwaondoa

Nchi ya malamiko... Mwananchi analalamika, mbunge analalamika, waziri analalamika, Mkuu wa Mkoa analalamika, Rais analalamika....
Kumshunuru na kumpongeza Rais ndio kunafanya hao watendaji wasitimize wajibu wao Hadi wasubirie viongozi Wakuu wa Kitaifa waseme?
 
Yeye Rais ndiyo ametengeneza mfumo wa hovyo wa kuona kila kinachofanyika kinafanywa na Rais, taifa star ikishinda mechi atasifiwa Rais, choo cha shule atasifiwa Rais so watu wanaona kumbe mambo yote ni Rais hawatendaji wengine hawana majawabu.
Inahusikaje Sasa na incompetence ya watendaji Kushindwa kutimiza wajibu wao?
 
Inahusikaje Sasa na incompetence ya watendaji Kushindwa kutimiza wajibu wao?
Tanzania watu wanafuata maono ya Rais na siyo dira ya Taifa, kila kinachofanyika ni kwa hisani ya Rais na siyo kwa mujibu wa katiba na sheria, utapata wapi watu competent? watu hutengenezwa kwa mifumo imara wajiamini, upatikanaji wao ukoje?
 
Tanzania watu wanafuata maono ya Rais na siyo dira ya Taifa, kila kinachofanyika ni kwa hisani ya Rais na siyo kwa mujibu wa katiba na sheria, utapata wapi watu competent? watu hutengenezwa kwa mifumo imara wajiamini, upatikanaji wao ukoje?
Rais hatekelezi Nje ya dira ya Taifa ukiacha wale wajinga wachache ila Kwa Sasa dira inayokuja itafungwa kisheria kabisa kuzuia maamuzi dizaini ya kina Jiwe na hao mbumbumbu wengine unaowataja.
 
Rais hatekelezi Nje ya dira ya Taifa ukiacha wale wajinga wachache ila Kwa Sasa dira inayokuja itafungwa kisheria kabisa kuzuia maamuzi dizaini ya kina Jiwe na hao mbumbumbu wengine unaowataja.
Royal tour na annuani za makazi zipo kwenye dira ya taifa? nionyeshe ni ukurasa wa ngapi?
 
Rais Samia amewashangaa watendaji wa Serikali kutoa leseni za biashara ndogo ndogo Kwa wageni akitokea mfano Mchina muuza Mitumba Kariakoo.

Naungana na Rais Samia,hili ni jambo amenifurahisha sana maana nimewahi andika humu jf kwamba inkuaje Wachina wanafanya biashara ndogo ndogo badala ya uwekezaji,nani aliwapa vibali vya kuingia Nchini Kwa Ajili ya biashara ndogo.

Wamefika mbali saizi wamejigeuza Wachimbaji Wadogo wa Madini.Hii tabia ikomeshwe mara Moja kwa Wizara zinazohusika.
View attachment 3034740

My Take
Hongera sana Samia Kwa kuliona hili.

Viongozi wa Serikali sijui hawaelewi,hivi Kila kitu tutasybiria Rais aseme ndio sheria zitekelezwe? Kwa nini tunakuwa Nchi ya watu wasioelewa wajibu wao?

Pia soma Video: Mwekezaji wa Kigeni( Mchina) Amshushia Kichapo Mzawa Wakigombea Eneo la Kuchimba Madini.
Mbona wanasambaza bidhaa kwenye maduka nchi nzima wanapita kwenye maduka wakiona duka lako limechangamka wanakupa mzigo wa kutosha, faida Kwa hili wanakuongezea mtaji lakini hasara ukishindwa kulipa rejesho kwa muda mliokubaliana wanachukua bidhaa zao pia wewe unalipia gharama zote za uendeshaji na kodi
 
Sasa yeye kama hataki si aseme ni marufuku na atoe amri hizo leseni walizopewa wanyang'anywe! Badala yake eti anawaomba watendaji wasiwape leseni sasa wakikataa je! Hata kama uungwana na ustaarabu na kukataa kufokea watu lakini kuna mambo mengine anatengeneza mazingira mwenyewe ya kuchezewa.
 
Si alitamba anafungua nchi na wanasiasa uchwara wakamsifia .imekuwaje tena? Uongozi usio na maono lazima utumbukie tu shimoni
 
Rais Samia amewashangaa watendaji wa Serikali kutoa leseni za biashara ndogo ndogo Kwa wageni akitokea mfano Mchina muuza Mitumba Kariakoo.

Naungana na Rais Samia,hili ni jambo amenifurahisha sana maana nimewahi andika humu jf kwamba inkuaje Wachina wanafanya biashara ndogo ndogo badala ya uwekezaji,nani aliwapa vibali vya kuingia Nchini Kwa Ajili ya biashara ndogo.

Wamefika mbali saizi wamejigeuza Wachimbaji Wadogo wa Madini.Hii tabia ikomeshwe mara Moja kwa Wizara zinazohusika.
View attachment 3034740

My Take
Hongera sana Samia Kwa kuliona hili.

Viongozi wa Serikali sijui hawaelewi,hivi Kila kitu tutasybiria Rais aseme ndio sheria zitekelezwe? Kwa nini tunakuwa Nchi ya watu wasioelewa wajibu wao?

Pia soma Video: Mwekezaji wa Kigeni( Mchina) Amshushia Kichapo Mzawa Wakigombea Eneo la Kuchimba Madini.
Kwenye hili namuunga mkono mhe rais, ni kilio cha muda mrefu. Wapo wachina wanacho hadi mahindi. Hizi biashara ndogo zibaki za wazawa tu, hawa wengine either wakubaoi kuwa wawekezaji wakubwa else wasipewe vibali kabisa
 
Kuna watu hawajui majukumu yao mpaka Rais aseme
Mkuu wa uhamiaji yupo kwani hajui hawa wachina wanauza mandazi sio haki yao kufanya hivyo?
Wanawapa permit ipi ya kuuza maua?

Rais sio wa kuongea bali kuwawajibisha wanaowaweka hapo
 
Si alitamba anafungua nchi na wanasiasa uchwara wakamsifia .imekuwaje tena? Uongozi usio na maono lazima utumbukie tu shimoni
Kufungua nchi kuna regulations, kufungua nchi haimaanishi kila mgeni aje afanye anavyotaka hapana. Wateule wake huku ndio hawaelewi au wanajisahau kwenye hili
 
Sasa analalamika nini wakati alipoingia ni yeye ndiye Aliruhusu haya mambo kwa kuruhusu kila mgeni kuja kufanya atakavyo?

Watendaji wake wanakwenda na biti tu.
 
Back
Top Bottom