Samia Scholarship

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
SAMIA SCHOLARSHIP

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanzisha program ya ufadhili iitwayo SAMIA SCHOLARSHIP kwa masomo ya shahada ya kwanza kwa wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika mitihani ya kidato cha 6 mwaka 2022 chini ya NECTA kwa waliosoma masomo ya;
PCB,
PCM,
PGM,
CBG,
CBA,
PMC,
CBN
SAMIA SCHOLARSHIP itagharamia kwa Asilimia Mia Moja (100%) katika fani za Teknolojia, Uhandisi, Hisabati na Tiba;

  • Ada ya mafunzo
  • Posho ya Chakula na Malazi
  • Posho ya Vitabu na Viandikwa
  • Mahitaji Maalumu ya Vitivo
  • Mafunzo kwa Vitendo
  • Utafiti
  • Vifaa Saidizi kwa Wanafunzi Wenye Mahitaji Maalumu
  • Bima ya Afya
 
Wadau Hivi hakuna mtu anayefahamu vyuo/mahala wanapotoa scholarships za masters iwe ndani au nje ya nchi kwa upande wa accounting, economics or finance related degrees?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…