Samia Urais si maneno ni vitendo, Kwanini unaruhusu tozo hizi kuendelea kutozwa?

Samia Urais si maneno ni vitendo, Kwanini unaruhusu tozo hizi kuendelea kutozwa?

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Tangu utangaze kuwa umesikia "kelele" zetu kuhusu tozo za simu na siyo hoja na kwamba serikali yako ya CCM itazishughulikia, bado zimeendelea kuwepo na kutuumiza.

Busara za kibinadamu zinataka baada ya kuzisikia na kuahidi kuzishughulikia tozo hizi zingesimamishwa mara moja hadi maamuzi mapya kutolewa.

Kwa nini unaruhusu tozo hizi kuendelea kutozwa? Je, Mawaziri wako wamekuzidi nguvu? Je, huna uwezo kuzisimamisha? Je, unavuta muda ili ukusanye fedha za kutosha?

Sisi wananchi uvumilivu umefika kikomo, usitutake maneno!
 
Cabinet imekaa leo. Let's wait; labda kwa mara ya kwanza watakuja na jipya +ve kwa mwananchi mnyonge.
 
Tangu utangaze kuwa umesikia "kelele" zetu kuhusu tozo za simu na siyo hoja na kwamba serikali yako ya CCM itazishughulikia, bado zimeendelea kuwepo na kutuumiza...
Naona ni vyema tozo zikaendelea kama kawaida. Tutazoea tu, ila la msingi ni kuwa serikali iweze kutekeleza matumizi walioyakusudia kutokana na hizi tozo.

Ko mimi nitakuja kuilaumu serikali endapo tozo zetu hazitaleta mabadiriko yoyote ya miundo mbinu kama walivyokusudia.
 
Naona ni vyema tozo zikaendelea kama kawaida. Tutazoea tu, ila la msingi ni kuwa serikali iweze kutekeleza matumizi walioyakusudia kutokana na hizi tozo.
Ko mimi nitakuja kuilaumu serikali endapo tozo zetu hazitaleta mabadiriko yoyote ya miundo mbinu kama walivyokusudia.
Unategemea kitu kwa ufisadi huu!😭😭😭
 
Naona ni vyema tozo zikaendelea kama kawaida. Tutazoea tu, ila la msingi ni kuwa serikali iweze kutekeleza matumizi walioyakusudia kutokana na hizi tozo.
Ko mimi nitakuja kuilaumu serikali endapo tozo zetu hazitaleta mabadiriko yoyote ya miundo mbinu kama walivyokusudia.
Brother hakuna kitu hapoo..yaan barabara zitabak kama zilivyoo hizo pesa zinaenda kwenye matumbo ya kina ndrugrayiiii...na hao msoga gang
 
Mwambie! Sijui ni kitu gani kinamuaminisha kuwa fedha itajenga miRaundombinu!
Rais Samia hawezi kazi, hilo lipo wazi sasa, angalia tangu ameingia ameteua wangapi? Je, ni kweli hao alio wateua wataongeza ufanisi? Kwa nini amezuia TRA kutoa figures za makusanyo ya mwezi? Anaficha nini? Tanzania sio nchi binafsi ya kwake au ya ka-ukoo wake. Aibu!
 
Rais Samia hawezi kazi, hilo lipo wazi sasa, angalia tangu ameingia ameteua wangapi? Je, ni kweli hao alio wateua wataongeza ufanisi? Kwa nini amezuia TRA kutoa figures za makusanyo ya mwezi? Anaficha nini? Tanzania sio nchi binafsi ya kwake au ya ka-ukoo wake. Aibu!
Nchi inaelekea shimoni!
 
Naona ni vyema tozo zikaendelea kama kawaida. Tutazoea tu, ila la msingi ni kuwa serikali iweze kutekeleza matumizi walioyakusudia kutokana na hizi tozo.
Ko mimi nitakuja kuilaumu serikali endapo tozo zetu hazitaleta mabadiriko yoyote ya miundo mbinu kama walivyokusudia.
wew mpingaji nini aisee!
 
Tozo zikiondolewa Johnson gharama za kumlipia zitapatikanaje.

Hata Kama ni chozi la damu lazima hela ipatikane.
 
Waziri kwa kujiamini alishauri Watu wahamie Burundi kama tozo zimewashinda.
 
Ili tuamini kama hamna pesa inabidi muache kuhonga,baa ziache kujaa,sherehe na michango vikome vinginevyo hilo lomeshatoka
 
Ili tuamini kama hamna pesa inabidi muache kuhonga,baa ziache kujaa,sherehe na michango vikome vinginevyo hilo lomeshatoka
Kuhonga na kwenda baa ni sehemu ya kusambaza fedha mitaani na kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja!
 
Kuna watu walikuwa wanadanganya eti miamala sijui itasababisha uchumi kushuka na porojo kama hizo,kwa taarifa yenu someni hapa 👇👇

Screenshot_20210807-081612.png


Screenshot_20210807-081441.png


Screenshot_20210807-081528.png
 
Back
Top Bottom