Samia Urais si maneno ni vitendo, Kwanini unaruhusu tozo hizi kuendelea kutozwa?

Samia Urais si maneno ni vitendo, Kwanini unaruhusu tozo hizi kuendelea kutozwa?

Cabinet imekaa leo. Let's wait; labda kwa mara ya kwanza watakuja na jipya +ve kwa mwananchi mnyonge.
Kwa nini unasema wananchi wanyonge hili neno sio zuri wananchi ndio wanao changia mapato Tanzania hii na kuwa wanyonge ni uijinga
 
Tangu utangaze kuwa umesikia "kelele" zetu kuhusu tozo za simu na siyo hoja na kwamba serikali yako ya CCM itazishughulikia, bado zimeendelea kuwepo na kutuumiza.

Busara za kibinadamu zinataka baada ya kuzisikia na kuahidi kuzishughulikia tozo hizi zingesimamishwa mara moja hadi maamuzi mapya kutolewa.

Kwa nini unaruhusu tozo hizi kuendelea kutozwa? Je, Mawaziri wako wamekuzidi nguvu? Je, huna uwezo kuzisimamisha? Je, unavuta muda ili ukusanye fedha za kutosha?

Sisi wananchi uvumilivu umefika kikomo, usitutake maneno!

Tozo hizo ndogo sana jombi. Aziongeze maradufu itapendeza zaidi.
 
Wanançhi wamekubali tozo! Rejea mahojiano ya kikeke na Rais wewe kama bado hujakubali mheshimiwa waziri alishatoa maelekezo kuwa wasiotaka tozo waende burundi.
 
Back
Top Bottom