Samico nimerejea mjini, nimekuta mabadiliko; Aliyekuwa kiboko ya wachawi naye karogwa na wachawi

Samico nimerejea mjini, nimekuta mabadiliko; Aliyekuwa kiboko ya wachawi naye karogwa na wachawi

Samico Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2022
Posts
486
Reaction score
1,237
Baada ya kukaa saiti miezi mitatu huko polini kondoa pasipo kuingia internet, Hatimaye leo tumerejea Dar es salaam! Tuko huru kama kuna kazi umeme na ujenzi nipigie 0711756341

Nimerudi mjini Hakika mabadiliko yanaonekana! Mji unakuwa kwa kasi sana! Ukiwa hapahapa mjini kila siku huwezi kugundua kama kuna mabadiliko!

Mabadiliko mengine ni pamoja na yule Kiboko ya wachawi nimekuta karogwa na wachawi kaondoka!

Unaweza kutumia lugha ya kistaarabu kwamba karudi kwao, lakini kwa anayejua sayansi ya kichawi inavyofanya kazi huwezi kusta kusema kiboko ya wachawi naye karogwa!

Ukipinga kiboko ya wachawi kurogwa utakuwa huelewi mifumo ya kichawi inavyofanya kazi!

Iko hivi; UCHAWI ni mfumo, ukisikia mtu karogwa awe masikini maana yake mifumo yake ya kuingiza fedha inageuzwa!
Huyo mtu anapokwenda kwa mitume na manabii huombewa ili Mungu arejeshe mifumo ya mtu kufanikiwa!

Mchawi akitaka kukuroga USIZAE anaingilia mifumo ya uzazi na kuidhibitisha kitabibu kupitia kwa wataalam kwa kuchanganya mafaili yao kwamba HUZAI au pengine wakati wanakusafisha njia ya uzazi ndipo wanakwangua kabisa na kizazi kwa bahati mbaya! (Hiyo bahati mbaya ndo uchawi wenyewe ulipo)

Yule bwana aliyejiita kiboko ya wachawi kwa juu juu huwezi kugundua kama karogwa!

Lakini ukweli ni kwamba,Yule kiboko ya wachawi, kitambo sana wachawi walimalizana naye wakamtupia vijini, dishi likayumba ndo akawa anaropoka yote hayo yaliyopelekea!

Ambacho wengi hawajui Hata wachawi huwa wanamafaili Ya binadamu! Ukiwazingua hakikisha faili lako ni safi kwelikweli la sivyo wanakunyoosha kupitia mafaili ya tabia zako mwenyewe!

Wanaweza kukukosa kote lakini wakaja kukudaka kwenye katabia kadogo tu ka umalaya na wakakunyooshea hapo hapo hadi ukaambukizwa na magonjwa ndo wanakuachia ukafe!

YULE KIBOKO YA WACHAWI UKWELI NI KWAMBA NAYE KAROGWA!
 
Baada ya kukaa saiti miezi mitatu huko polini kondoa pasipo kuingia internet, Hatimaye leo tumerejea Dar es salaam! Tuko huru kama kuna kazi umeme na ujenzi nipigie 0711756341

Nimerudi mjini Hakika mabadiliko yanaonekana! Mji unakuwa kwa kasi sana! Ukiwa hapahapa mjini kila siku huwezi kugundua kama kuna mabadiliko!

Mabadiliko mengine ni pamoja na yule Kiboko ya wachawi nimekuta karogwa na wachawi kaondoka!

Unaweza kutumia lugha ya kistaarabu kwamba karudi kwao, lakini kwa anayejua sayansi ya kichawi inavyofanya kazi huwezi kusta kusema kiboko ya wachawi naye karogwa!

Ukipinga kiboko ya wachawi kurogwa utakuwa huelewi mifumo ya kichawi inavyofanya kazi!

Iko hivi; UCHAWI ni mfumo, ukisikia mtu karogwa awe masikini maana yake mifumo yake ya kuingiza fedha inageuzwa!
Huyo mtu anapokwenda kwa mitume na manabii huombewa ili Mungu arejeshe mifumo ya mtu kufanikiwa!

Mchawi akitaka kukuroga USIZAE anaingilia mifumo ya uzazi na kuidhibitisha kitabibu kupitia kwa wataalam kwa kuchanganya mafaili yao kwamba HUZAI au pengine wakati wanakusafisha njia ya uzazi ndipo wanakwangua kabisa na kizazi kwa bahati mbaya! (Hiyo bahati mbaya ndo uchawi wenyewe ulipo)

Yule bwana aliyejiita kiboko ya wachawi kwa juu juu huwezi kugundua kama karogwa!

Lakini ukweli ni kwamba,Yule kiboko ya wachawi, kitambo sana wachawi walimalizana naye wakamtupia vijini, dishi likayumba ndo akawa anaropoka yote hayo yaliyopelekea!

Ambacho wengi hawajui Hata wachawi huwa wanamafaili Ya binadamu! Ukiwazingua hakikisha faili lako ni safi kwelikweli la sivyo wanakunyoosha kupitia mafaili ya tabia zako mwenyewe!

Wanaweza kukukosa kote lakini wakaja kukudaka kwenye katabia kadogo tu ka umalaya na wakakunyooshea hapo hapo hadi ukaambukizwa na magonjwa ndo wanakuachia ukafe!

YULE KIBOKO YA WACHAWI UKWELI NI KWAMBA NAYE KAROGWA!
mkuu mbona wewe mwenyewe ni kama pia umerogwa
 
samico mtu kazi naona umerejea kamanda mkuu..nikajua Kondoa washakukondoo ukabaki hukohuko
 
Back
Top Bottom