MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Kikao cha marais wa nchi za SADC, kimeamua kuondoa majeshi yote ya nchi hizo, kurahisisha upatikanaji wa suruhu la kudumu la amani nchini humo.
Wakati huo, kisiwa cha Idjwi tayari kipo mikononi mwa M23, kwa maana ziwa Kivu, serikali ya DRC hainusi.
Wakati huo, kisiwa cha Idjwi tayari kipo mikononi mwa M23, kwa maana ziwa Kivu, serikali ya DRC hainusi.