Sammata aipasua ngome ya Liverpool iliyomshinda Messi

Sammata aipasua ngome ya Liverpool iliyomshinda Messi

Hongera Serikal ya awamu ya tano kwa goli hili
Unaweza sema kimas'hara ila kipindi hiki kimekuwa na neema nyingi.

Ukiangalia rekodi za michezo zilizowekwa kipindi hichi ni nyingi mno. Taifa stars, Mwakinyo, Simba nk utaweza kuona mlolongo.
 
Vichwa by habari za michezo kesho utasikia"SAMATA AVUNJA MFUPA ULIOMSHINDA MESSI" wengine utasikia "KUMBE MESSI HAFUI DAFU KWA MBWANA SAMATA"😂😂
 
Yule kibopa na fowadi hatari kutoka Tanzania mbwana samata sasa anawindwa na timu kubwa duniani kote kwa uchache tuu ni real Madrid,barca na man city huenda akavunja rekodi ya neymar

kunako gazeti la BINGWA hapo kesho
😂😂😂😂😂
 
Lazima wamkumbuke maana katikisa nyavu mara mbili katika mechi mbili alizokutana na liver....japo la game ya kwanza lilikataliwa
 
Hongera JPM
Sikujua Samatta yupo kwenye pay roll ya Magufuli. Nilifikiri analipwa na timu yake. Hawa wachezaji wa Argentina, Uk, Ujerumani na wengineo kama wa Kenya akina manyama watasema nini?
 
Amefunga gori uwanja mgumu wa Anfield hii ni record ambayo Messi Hajawai iweka na inawezekana Messi akastaafu bila kufunga gori uwanja wa nyumbani wa liverpool pamoja na kuwa kuja pale mara kibao.

Samatta anazidi kuonyesha kwamba ni mchezaji hatari kuwai kutokea kusini mwa jangwa la sahara
= goli

Midomoni kunatoka matamshi na nafahamu wengi lafdhi mama zao si za Kiswahili na kukosea kutamka kunavumilika kwa kiwango fulani, lakini nashangaa vidoleni mwenu kuna nini kinachowafanya mkosee "r" na "l"?

Au shule mlizosomea mlifundishwa hivyo?

Kama ni shule, nikiziita ni shule za kusomea ujinga nitakuwa nimekosea?
 
Hongera CCM chini ya mwenyekiti Rais Magufuli kwa kuwezesha goli hili kupatikana
 
Katuwakilisha vyema kabisa na pasipo kuwepo na ule ufigisu figisu angekuwa amwaweka nje ndani hawa majogoo

Big up le capitainView attachment 1255085
43 min

Terrific run and header from the corner. The Tanzania centre-forward bullets it in at the near post, beating Alexander-Arnold and Milner comprehensively in the air. A minute earlier Salah had flashed a left-foot shot wide and conceded a corner by initially drowsing during a rapid counter-attack.
Mwenyezi mungu amtie nguvu kijana huyu
 
Amefanya jambo kubwa na kama goli lake la mechi ya mwanzo lingekubaliwa angewafunga liva kwenye game zote mbil...
 
Back
Top Bottom