Umefeli kujua MATERIAL THINGS zina Class yake kulingana na Bei kwa uswahilini kama huku mtaani mimi nina Sumsung J2 PRIME ila wanaita simu kali lakini simu iliyopitwa na wakati, Sowote tunazijua HIGH END PHONES ila uchumiDuu vitu vingine bana, sasa hapo mtu unapanic nini,
Kusema ukweli? Kwani nimeponda simu?
Umefeli kujua MATERIAL THINGS zina Class yake kulingana na Bei kwa uswahilini kama huku mtaani mimi nina Sumsung J2 PRIME ila wanaita simu kali lakini simu iliyopitwa na wakati, Sowote tunazijua HIGH END PHONES ila uchum
Oky twende taratibu,Umefeli kujua MATERIAL THINGS zina Class yake kulingana na Bei kwa uswahilini kama huku mtaani mimi nina Sumsung J2 PRIME ila wanaita simu kali lakini simu iliyopitwa na wakati, Sowote tunazijua HIGH END PHONES ila uchumi
Naiuza kama una laki 4 ina crack kioo sehem ndogo samsung A50Leo nilikuwa maeneo flani nikakutana na Rafiki angu akawa amenipa simu yake niandike namba yangu lakini nikasema sio mbaya niangalie property za simu ofcourse CAMERA yake ni kali sana...storage ya kutosha lakini kwenye betry ndo nilichoka yani simu ina 60% lakini inaandika 1DAY mpaka iishe kabisa to 0%. Kiukweli kwa laki 4 tu kupata simu nzuri hivi ni kuonesha Samsung wapo vyema sana with low cost unapata kilicho bora. Nitaitafuta soon.
Sawa mkuu we endelea kuteseka na chaji kwenye S8 yako hapo.Duu vitu vingine bana, sasa hapo mtu unapanic nini,
Kusema ukweli? Kwani nimeponda simu?
Then wewe huwezi kunipanikisha hata sekunde, ila nimekuona mshamba flani wa egoSwali ni pana mkuu, ila hakuna simh isiyo na madhaifu kabisaaa,
Hio simu kwa bei ya 300-400k(kutokana na maeneo)
Ni sawa kabisa.
Sawa mkuu we endelea kuteseka na chaji kwenye S8 yako hapo.
Katika majadiliano ya kawaida ya kubadilishana mawazo unapoanza ku mu attack mtu baada ya hoja ni kipimo cha kupanicThen wewe huwezi kunipanikisha hata sekunde, ila nimekuona mshamba flani wa ego
Sio baada ni badalaKatika majadiliano ya kawaida ya kubadilishana mawazo unapoanza ku mu attack mtu baada ya hoja ni kipimo cha kupanic
Huyo @reyzzap ni level za kina Chief-Mkwawa . Maswala ya gardet ni nyoko.kweli mkuu labda wewe level zako ni S10 ndo maana unaleta tambo zako hapaaaa⦠low end unazijua wewe
πππMbona umeruka comment uliyoni quote mwenyewe,Sio baada ni badala
Huu mnyukano najua kwa 100% hawakuwezi. Utaibuka mikono juu.πππMbona umeruka comment uliyoni quote mwenyewe,
Weka hio yako unayoisifia hapa...
Twende taratibu...
Mkuu.View attachment 1805307mkuu soma hapo juu imetumika kwa mda gani, then angalia charge iliyobaki, halafu aje yeyote humu mwenye benchmark hiyoo.
Leo nilikuwa maeneo flani nikakutana na Rafiki angu akawa amenipa simu yake niandike namba yangu lakini nikasema sio mbaya niangalie property za simu ofcourse CAMERA yake ni kali sana...storage ya kutosha lakini kwenye betry ndo nilichoka yani simu ina 60% lakini inaandika 1DAY mpaka iishe kabisa to 0%. Kiukweli kwa laki 4 tu kupata simu nzuri hivi ni kuonesha Samsung wapo vyema sana with low cost unapata kilicho bora. Nitaitafuta soon.
Kiukweli kwa laki 4 tu kupata simu nzuri hivi ni kuonesha Samsung wapo vyema sana with low cost unapata
| DISPLAY | |
|---|---|
| Type | PLS IPS |
| Size | 6.5 inches, 102.0 cm2 (~82.1% screen-to-body ratio) |
| Resolution | 720 x 1600 pixels, |
Tena very low mkuu hata hiyo laki 4 naiona kubwa kutoka kwenye hii deviceUkilinganisha na Samsung nyingine nying Ni ya kawaida kabisaaa, kumbuka hii ipo kwenye kundi la chini la low end za Samsung,
Tena very low mkuu hata hiyo laki 4 naiona kubwa kutoka kwenye hii device
Bora umesema mkuu,
DISPLAY Type PLS IPS Size 6.5 inches, 102.0 cm2 (~82.1% screen-to-body ratio) Resolution 720 x 1600 pixels,
Mkuu mbona hiyo simu ni ya kawaida sana yani... Ina sifa za chini
Ya kawaida hayo mkuu... japo ukweli ndio huo, hiyo simu laki 4 ni kubwa sana... redmi ya laki 4 iko njema kuliko hiyo a12 mbaya zaidi hawazilishi kwenye viwanda vyao ππBora umesema mkuu,
Mimi wana ni attack eti ni tambo,
Hii simu ni ya kawaida kabisaa, nahisi kwenye series yake ni ya 5 kutoka mwisho.