Samsung 12 ni kiboko

Samsung 12 ni kiboko

Duu vitu vingine bana, sasa hapo mtu unapanic nini,
Kusema ukweli? Kwani nimeponda simu?
Umefeli kujua MATERIAL THINGS zina Class yake kulingana na Bei kwa uswahilini kama huku mtaani mimi nina Sumsung J2 PRIME ila wanaita simu kali lakini simu iliyopitwa na wakati, Sowote tunazijua HIGH END PHONES ila uchumi
 
Umefeli kujua MATERIAL THINGS zina Class yake kulingana na Bei kwa uswahilini kama huku mtaani mimi nina Sumsung J2 PRIME ila wanaita simu kali lakini simu iliyopitwa na wakati, Sowote tunazijua HIGH END PHONES ila uchum

Umefeli kujua MATERIAL THINGS zina Class yake kulingana na Bei kwa uswahilini kama huku mtaani mimi nina Sumsung J2 PRIME ila wanaita simu kali lakini simu iliyopitwa na wakati, Sowote tunazijua HIGH END PHONES ila uchumi
Oky twende taratibu,
A12 unahisi ipo class gani mkuu?
 
Leo nilikuwa maeneo flani nikakutana na Rafiki angu akawa amenipa simu yake niandike namba yangu lakini nikasema sio mbaya niangalie property za simu ofcourse CAMERA yake ni kali sana...storage ya kutosha lakini kwenye betry ndo nilichoka yani simu ina 60% lakini inaandika 1DAY mpaka iishe kabisa to 0%. Kiukweli kwa laki 4 tu kupata simu nzuri hivi ni kuonesha Samsung wapo vyema sana with low cost unapata kilicho bora. Nitaitafuta soon.
Naiuza kama una laki 4 ina crack kioo sehem ndogo samsung A50
Screenshot_20210601-220218_Device%20care.jpg
 
Leo nilikuwa maeneo flani nikakutana na Rafiki angu akawa amenipa simu yake niandike namba yangu lakini nikasema sio mbaya niangalie property za simu ofcourse CAMERA yake ni kali sana...storage ya kutosha lakini kwenye betry ndo nilichoka yani simu ina 60% lakini inaandika 1DAY mpaka iishe kabisa to 0%. Kiukweli kwa laki 4 tu kupata simu nzuri hivi ni kuonesha Samsung wapo vyema sana with low cost unapata kilicho bora. Nitaitafuta soon.


Tsh 400,000/= kwa usawa huu??!!--- ni mimi na "Take no" kwa kwenda mbele, sintamuacha kipenzi Tecno.😁
 
Kiukweli kwa laki 4 tu kupata simu nzuri hivi ni kuonesha Samsung wapo vyema sana with low cost unapata

DISPLAY
TypePLS IPS
Size6.5 inches, 102.0 cm2 (~82.1% screen-to-body ratio)
Resolution720 x 1600 pixels,

ChipsetMediatek MT6765 Helio P35 (12nm)
CPUOcta-core (4x2.35 GHz Cortex-A53 & 4x1.8 GHz Cortex-A53)

Mkuu mbona hiyo simu ni ya kawaida sana yani... Ina sifa za chini
 
Tena very low mkuu hata hiyo laki 4 naiona kubwa kutoka kwenye hii device
DISPLAY
TypePLS IPS
Size6.5 inches, 102.0 cm2 (~82.1% screen-to-body ratio)
Resolution720 x 1600 pixels,
ChipsetMediatek MT6765 Helio P35 (12nm)
CPUOcta-core (4x2.35 GHz Cortex-A53 & 4x1.8 GHz Cortex-A53)

Mkuu mbona hiyo simu ni ya kawaida sana yani... Ina sifa za chini
Bora umesema mkuu,
Mimi wana ni attack eti ni tambo,
Nakati inawezekana natumia simu ndogo zaidi ya hio, ila ukweli lazima usemwe
Hii simu ni ya kawaida kabisaa, nahisi kwenye series yake ni ya 5 kutoka mwisho.
 
Back
Top Bottom