Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,569
Kwa Angle gani unazungumziaOky twende taratibu,
A12 unahisi ipo class gani mkuu?
*kwa mada iliyopo au kwa uchumi kama wangu ni High Class
*Kwa soko la simu Duniani ni takataka tu ukilinganisha na ma Giant
Kwahiyo elewa suala ni nini Rikiboy sizani kama hazijui NOTE 10 ULTRA ma S9 nk suala kulingana na uchumi hapo ndipo unapokwama....yaani kama tunazungumzia BREVIS ni gari nzuri kwa bei yake wewe uje useme sio kweli ukaleta ma LAND ROVER, JAGUAR, VELAR