Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Ahahahaha maisha ni vile unavyoyaona mkuu1.5 helaaaa🤣🤣🤣🤣ila haya Maisha hayaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahaha maisha ni vile unavyoyaona mkuu1.5 helaaaa🤣🤣🤣🤣ila haya Maisha hayaaa.
Sasa hiyo a12 ndio haina tofaut na tekno... redmi na xiaomi kwa hiyo bei ya a12 unapata simu kali sanando hizo redmit sio xiaomi sijui… yani hizi hakuna tofauti na tekno 🤣 🤣 🤣
Ndio mkuuUnamaana 1.5 Million au.
Upo timamu kweli tunazungumzia Simu ya 400K wewe unaleta ya 1.5M...ilitakiwa upinge sio bora alafu ulete iliyo bora kwa bei ya 400K.Ndio mkuu
Hivi umefatilia vizuri hizo comment?Upo timamu kweli tunazungumzia Simu ya 400K wewe unaleta ya 1.5M...ilitakiwa upinge sio bora alafu ulete iliyo bora kwa bei ya 400K.
JF ya sikuhizi sijui imekuwaje
Tatizo hamtaki kuelewa ahaha🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 daah mkuu ebu tafuta kazi ya kufanyaaaa….
Xiaomi haiwezi lingana na tecno ,ndo hizo redmit sio xiaomi sijui… yani hizi hakuna tofauti na tekno [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Mod mpigeni BAN huyuHivi umefatilia vizuri hizo comment?
Hii mi Xiaomi nayo imezidi ubonge kama inakula Junk Food mimi simu hata iwe na tech gani likiwa Bonge tu silitakiXiaomi haiwezi lingana na tecno ,
Sijaona tecno yenye amoled display , let alone Snapdragon
Ir blaster hata kwenye hizo samsung ipo kwenye very expensive models.xiaomi ipo hadi kwenye low ends
Lakini sio xiaomi tu kuna simu nyingi zina outsmart brands kubwa , na bei ni poa ,mwaka juzi nilnunua realme x kwa around 284000 shilings ,
With it came
Gorrilla 5, 11nm Snapdragon soc , m otorized front camera , underdisplay fingerprint scanner , plus type c usb port.
Kuna simu nyingi za 300k mpaka 400k ambazo ni nzuri zaidi ya hiyo anayoisifia.Ila alisema kwa sisi watu wa chini
Kwa hiyo hela unaweza kupata simu nzuri kuliko hiyo.kweli ni low end mkuu hata me nakubali. Ilaa kwa wale wenye laki 350 mpaka 400k kina kabwela ni HIGH END PHONE.
Simu yangu ni 4000mAh ila inakaa na charge kuliko hiyo A12 unayoisifia hapa.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Endeleeni kutembea na chaji mkuu...
TajaKuna simu nyingi za 300k mpaka 400k ambazo ni nzuri zaidi ya hiyo anayoisifia.
Kufarakana kivipi? S9 series ni simu ambazo zimepata malalamiko mengi ukilinganisha na s8 series.mmenza kufarakana tenaa… alafu mamabo ya kuja na uchambuzi kwa kuangalia specification za simu mtandaoni uache...
S8 my short dream phone inshaallah mwashoni mwa mwaka nitamiliki hiiKufarakana kivipi? S9 series ni simu ambazo zimepata malalamiko mengi ukilinganisha na s8 series.
Binafsi namshauri mtu akitoka s8 series arukie s10 series.