42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Refurbish ni around 600kS 9+ beigani nimependa muoneoano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refurbish ni around 600kS 9+ beigani nimependa muoneoano
aiseRefurbish ni around 600k
Note 10 inagharimu kiasi gan?Note series sijawahi kuzielewa labda kuanzia Note 10 plus.
Sijajua mkuuNote 10 inagharimu kiasi gan?
Bila kujiuliza, Achukua A21s.Jamani mpeni jibu basi huyu mdau @reyzapp
Dukani beigani na mkononiBila kujiuliza, Achukua A21s.
Ana advantage kuanzia bei, display quality, punch hole camera, processor,
Screen to body ratio, n.k
Note 10+ zinakwenda kwa bei gani?Note series sijawahi kuzielewa labda kuanzia Note 10 plus.
Misimu mibonge
Dukani 380k,Dukani beigani na mkononi
Je display yake ni Fullsize
Bonge ya simu hasa kwenye upande wa batteryNimenunua samsung galaxy M51 battery yake ni 7000mAh ni sawa au nimeingizwa cha kike
Inajaza mifuko[emoji2][emoji2][emoji2]Misimu mibonge
Hivi Samsung S10+ used ya nje bei gani mkuu? Na mkononi kibongobongo angalau kuanzia ngapi mkuu?Bonge ya simu hasa kwenye upande wa battery
Hii ngoja niandike kwenye Notea Board ulivyoweka Details pale na bei yake inavutiaDukani 380k,
Ni full size kabisaa, maana ni Punch hole camera.
Inaangukia popote kati ya 800k-1M.Hivi Samsung S10+ used ya nje bei gani mkuu? Na mkononi kibongobongo angalau kuanzia ngapi mkuu?
Inaweza kushuka hasa kulingana na storage na ramHii ngoja niandike kwenye Notea Board ulivyoweka Details pale na bei yake inavutia
Mkuu dukani wanaweza kukupunguzia kufika 350K
Haha 2GB na 32GB storage inanifaaInaweza kushuka hasa kulingana na storage na ram
Maana ram inacheza kati ya 2GB-6GB
Internal storage kati ya 32GB-128GB.
Hio ndio inaamua bei kupanda na kushuka.
Fafanua zaidi.Simu ni I phone tu asikudanganye mtu nyingine zote photocopy believe me